Siasa zinaamua pia mpira: Kipindi cha Rais wa Pwani / Zanzibar GSM huwa anachapisha pesa, Timu anayoidhamini itaendelea kutawala hadi 2030

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Kwa mpunga anaoingiza kwenye biashara kwa sasa pesa zinatiririka mithiri ya mashine ya kutoa copy.

Kipindi cha Kikwete mambo kwa GSM yalikuwa poa sana japo hakuwa kaingia kwenye mpira.

Kipindi cha Magu hali ilikuwa ngumu sana, hapa nakumbuka alikuwa anasumbuliwa hata na kina Makonda

Rais wa sasa nae ni kama marudio ya style ya uongozi wa Kikwete, GSM imerudi kwa kishindo hakuna kifani, Pesa anazovuna ni nyingi mno, biashara zinatapika pesa

Kwa hali hii navyoona ni mpaka 2030 mwendo ni huu huu maana mpira ni pesa na hizo pesa GSM anazichapisha!! kabla ya 2027 Yanga itakuwa inalipa wachezaji mishahara ya milioni 50,

Anguko zito linakuja 2031.
 
Kipindi cha Kikwete mambo kwa GSM yalikuwa poa sana japo hakuwa kaingia kwenye mpira.

Kipindi cha Magu hali ilikuwa ngumu sana, chuma kilikuwa kimekaza kwenye mambo ya kodi na upande mwengine huku kina Bashite nao wanamsumbua.

Rais wa sasa nae ni kama tawi la Kikwete GSM imerudi kwa kishindo hakuna kifani, Pesa zinachapishwa acheni tu!!

Kwa hali hii navyoona ni mpaka 2030 mwendo ni huu huu maana mpira ni pesa na hizo pesa GSM anazichapisha!! kabla ya 2027 Yanga itakuwa inalipa wachezaji mishahara ya milioni 50,

Anguko zito linakuja 2031,
Kelele tu hizi

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi cha Kikwete mambo kwa GSM yalikuwa poa sana japo hakuwa kaingia kwenye mpira.

Kipindi cha Magu hali ilikuwa ngumu sana, hapa nakumbuka alikuwa anasumbuliwa hata na kina Makonda

Rais wa sasa nae ni kama marudio ya style ya uongozi wa Kikwete, GSM imerudi kwa kishindo hakuna kifani, Pesa zinachapishwa acheni tu!!

Kwa hali hii navyoona ni mpaka 2030 mwendo ni huu huu maana mpira ni pesa na hizo pesa GSM anazichapisha!! kabla ya 2027 Yanga itakuwa inalipa wachezaji mishahara ya milioni 50,

Anguko zito linakuja 2031,
Kwa hiyo Rais anayetokea Pwani pamoja na huyu mama wa sasa ukimjulisha na huyo GSM ndiyo waliosababisha timu nyingine kama simba, Azam kukosa ubingwa wa ligi kuu! Kuingia hatua ya nusu fainali kombe la shirikisho! Kuisababishia simba kuishia hatua ya robo fainali!!

Ni huyo Rais wa Pwani na huyu wa ukimjulisha na GSM ndiyo walio washinikiza kusajili wachezaji wa kukoteza!! Ni miezi michache tu iliyopita Yanga hii hii mlikuwa mkiikejeli kwa kushindwa kumlipa Fei Toto mshahara mkubwa!

Shida iko wapi vilabu vyetu vikifikia hiyo hatua ya kuwalipa wachezaji wao milioni 50! Tena kwa mwezi!! Vipi wale wachezaji wanaolipwa Pounds 500,000/= kwa wiki!!

Kwa hali hii basi hata zile milioni 5 za motisha kwa kila goli wangepewa Yanga tu.

All in all, haya ni mateso yanayotakana na mafanikio ya Yanga ndani ya hii miaka miwili. Hakuna sababu nyingine kwa mtu mzima na akili zake, kujitoa ufahamu kiasi hiki.

Na mtateseka sana kudadek zenu! Mtatafuta kila aina ya visingizio, na mwisho wa siku mtagundua chanzo cha matatizo yote, ni nyinyi wenyewe na ubabaishaji wenu.
 
Kipindi cha Kikwete mambo kwa GSM yalikuwa poa sana japo hakuwa kaingia kwenye mpira.

Kipindi cha Magu hali ilikuwa ngumu sana, hapa nakumbuka alikuwa anasumbuliwa hata na kina Makonda

Rais wa sasa nae ni kama marudio ya style ya uongozi wa Kikwete, GSM imerudi kwa kishindo hakuna kifani, Pesa zinachapishwa acheni tu!!

Kwa hali hii navyoona ni mpaka 2030 mwendo ni huu huu maana mpira ni pesa na hizo pesa GSM anazichapisha!! kabla ya 2027 Yanga itakuwa inalipa wachezaji mishahara ya milioni 50,

Anguko zito linakuja 2031,
sasa ndo utafute timu ya kushangilia mpk 2030 timu yako iwe inateseka tu sio poa
 
Kipindi cha Kikwete mambo kwa GSM yalikuwa poa sana japo hakuwa kaingia kwenye mpira.

Kipindi cha Magu hali ilikuwa ngumu sana, hapa nakumbuka alikuwa anasumbuliwa hata na kina Makonda

Rais wa sasa nae ni kama marudio ya style ya uongozi wa Kikwete, GSM imerudi kwa kishindo hakuna kifani, Pesa zinachapishwa acheni tu!!

Kwa hali hii navyoona ni mpaka 2030 mwendo ni huu huu maana mpira ni pesa na hizo pesa GSM anazichapisha!! kabla ya 2027 Yanga itakuwa inalipa wachezaji mishahara ya milioni 50,

Anguko zito linakuja 2031.
Huko mbali sana

Ebu relax,

Just enjoy the moment
 
Kwa hiyo Rais anayetokea Pwani pamoja na huyu mama wa sasa ukimjulisha na huyo GSM ndiyo waliosababisha timu nyingine kama simba, Azam kukosa ubingwa wa ligi kuu! Kuingia hatua ya nusu fainali kombe la shirikisho! Kuisababishia simba kuishia hatua ya robo fainali!!

Ni huyo Rais wa Pwani na huyu wa ukimjulisha na GSM ndiyo walio washinikiza kusajili wachezaji wa kukoteza!! Ni miezi michache tu iliyopita Yanga hii hii mlikuwa mkiikejeli kwa kushindwa kumlipa Fei Toto mshahara mkubwa!

Shida iko wapi vilabu vyetu vikifikia hiyo hatua ya kuwalipa wachezaji wao milioni 50! Tena kwa mwezi!! Vipi wale wachezaji wanaolipwa Pounds 500,000/= kwa wiki!!

Kwa hali hii basi hata zile milioni 5 za motisha kwa kila goli wangepewa Yanga tu.

All in all, haya ni mateso yanayotakana na mafanikio ya Yanga ndani ya hii miaka miwili. Hakuna sababu nyingine kwa mtu mzima na akili zake, kujitoa ufahamu kiasi hiki.

Na mtateseka sana kudadek zenu! Mtatafuta kila aina ya visingizio, na mwisho wa siku mtagundua chanzo cha matatizo yote, ni nyinyi wenyewe na ubabaishaji wenu.
Aahaaa
 
Kipindi cha Kikwete mambo kwa GSM yalikuwa poa sana japo hakuwa kaingia kwenye mpira.

Kipindi cha Magu hali ilikuwa ngumu sana, hapa nakumbuka alikuwa anasumbuliwa hata na kina Makonda

Rais wa sasa nae ni kama marudio ya style ya uongozi wa Kikwete, GSM imerudi kwa kishindo hakuna kifani, Pesa zinachapishwa acheni tu!!

Kwa hali hii navyoona ni mpaka 2030 mwendo ni huu huu maana mpira ni pesa na hizo pesa GSM anazichapisha!! kabla ya 2027 Yanga itakuwa inalipa wachezaji mishahara ya milioni 50,

Anguko zito linakuja 2031.
Thibitisha kwamba GSM amechukua jukumu la Central Bank ku print pesa
 
Kipindi cha Kikwete mambo kwa GSM yalikuwa poa sana japo hakuwa kaingia kwenye mpira.

Kipindi cha Magu hali ilikuwa ngumu sana, hapa nakumbuka alikuwa anasumbuliwa hata na kina Makonda

Rais wa sasa nae ni kama marudio ya style ya uongozi wa Kikwete, GSM imerudi kwa kishindo hakuna kifani, Pesa zinachapishwa acheni tu!!

Kwa hali hii navyoona ni mpaka 2030 mwendo ni huu huu maana mpira ni pesa na hizo pesa GSM anazichapisha!! kabla ya 2027 Yanga itakuwa inalipa wachezaji mishahara ya milioni 50,

Anguko zito linakuja 2031.
Duh kwahyo makolo hawatachukua kombe hadi 2030
 
Kwa mpunga anaoingiza kwenye biashara kwa sasa pesa zinatiririka mithiri ya mashine ya kutoa copy.

Kipindi cha Kikwete mambo kwa GSM yalikuwa poa sana japo hakuwa kaingia kwenye mpira.

Kipindi cha Magu hali ilikuwa ngumu sana, hapa nakumbuka alikuwa anasumbuliwa hata na kina Makonda

Rais wa sasa nae ni kama marudio ya style ya uongozi wa Kikwete, GSM imerudi kwa kishindo hakuna kifani, Pesa anazovuna ni nyingi mno, biashara zinatapika pesa

Kwa hali hii navyoona ni mpaka 2030 mwendo ni huu huu maana mpira ni pesa na hizo pesa GSM anazichapisha!! kabla ya 2027 Yanga itakuwa inalipa wachezaji mishahara ya milioni 50,

Anguko zito linakuja 2031.
Na nyie chapisheni hizo pesa, labda mtaacha kutolewa kiume.
 
Back
Top Bottom