Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,387
kwamba niwambie nitazikwa wapi😂😂😂😂..
Pamoja katika ujenzi wa taifa.goja nitafte fact 100% then nakuja hapa tena.
Kumbe hata hukuwa na facts? Si ulisema sijasikia ufafanuzi kutoka kwa mamlaka husika, kwa mantiki ya kuwa ww ulisikia? Haya boss, kasake facts uje uzimwage hapa jukwaani. Tena hizo facts uzifungulie uzi wake kabisa.