TANESCO mtihani wa umeme mliowaingiza watanzania ni mkubwa sana, ila Mungu anawaona

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
15,861
20,714
Swala la umeme nchini mwetu linafikirisha sana,ni mzigo mkubwa sana,ambao watanzania tulio wengi tunashindwa kuubeba.Jambo la kushangaza ni kwamba hakuna anayepaza sauti yake kuongelea swala la umeme,si Wabunge,viongozi wa vyama vya siasa au viongozi wa dini,kila mtu amefumba kinywa,kuna nini nyuma ya pazia?Ni kama TANESCO hawatawaliwi na Sheria yeyote ya nchi na hawapo chini ya mamlaka yeyote,wanawasha wanapo taka na wanazima wanapo taka. Wengi tunajiuliza hali hii mpaka lini.Ndio tumeshawahi kuwa na matatizo ya umeme lakini si kwa kiwango hiki, tena mvua zinanyesha kwa wingi kwa hiyo ni wazi mabwawa yamejaa maji.Hapa nyumbani kwangu kwa mfano sikuwa na umeme tangu jana usiku,umerudi only 5 minutes ago saa 9:25,na sasa hivi saa 9:31 umekatika,and this is the norm. This situation is unbearable,new and extremely saddening.Tatizo ni nini haijawahi kuwekwa wazi hasa, ni kama tatizo hili haliwaathiri na wala haliwahusu Watanzania.Hivi watawala wamesahau kwamba upatikanaji wa vitu vya msingi kama maji na chakula vinategemea umeme,bila kusahau huduma za afya na biashara mbali mbali nk.nk.?Ni kama watawala wamejitoa ufahamu hivii....!

Tulishuhudia Makamba akiondolewa Wizara ya Nishati akiletwa Biteko, tukadhani nia ilikuwa njema kuboresha upatikanaji wa umeme.Kumbe nia ilikuwa kuongeza tatizo!Sasa umeme umekuwa ni a luxury commodity kwa Watanzania.

Inashangaza kwamba hapajawahi kuwa na tamko lolote "la kueleweka" si kutoka TANESCO au Serikalini kwamba kiini cha ukosefu wa umeme nchini hasa ni nini.To them kutotoa maelezo ya kina ya kueleweka is fine and well for them. Sijawahi kuona katika nchi yetu hali kama hii,ni kama hatuna Rais vile....It is indeed a shame.Hivi kwa hali hii CCM na Serikali yake inategemea wananchi 2025 waende kupiga kura kweli?Lazima nikiri itakuwa muujiza possible only in Tanzania with CCM. Labda magical spell ya mwenge itafanya kazi?Sijui bwana ngoja tusubiri.

Lakini naomba watawala wakumbuke kwamba Mungu amewaweka ili waongoze watu wake kwa niaba Yake. Wanapofika mahali hawajali ya Mungu wanajali yao, wanaingiza nchi katika laana na hasira ya Mungu. Ni jambo la kutisha sana kukabiliana na hasira ya Mungu head-on.Samia na genge lake wageuke,watubie uovu wao na waongoze Watanzania kwa haki,ili waepuke hasira ya Mungu.Kwa jinsi mambo yalivyo sasa ni vigumu sana nchi yetu kuepuka hasira ya Mungu at some point.

Binafsi nimefika mahali sasa nikiona tangazo la TANESCO popote nasikia kichefu chefu.Eti "TANESCO tunaangaza maisha yako,"acheni unafiki,watu wapo gizani halafu mnasema mnaangaza maisha yao,unafiki mtupu,sitisheni tangazo hilo mara moja,linazidisha tu hazira ya Watanzania.Watanzania tunataka umeme,maelezo yeyote mtakayo-toa yana-expose tu your rottenness as a system,we are fed up.Infact Mimi binafsi nimekwenda mbali na kuwaza au watawala wa dunia NWO through the WEF wameshatoa orders kwa serikali za dunia zianze kutesa wananchi wao,because this is simply unprecedented.
-------------------------------
Oh,damn them.Watch this very recent terrifying revelation,so painful.

 
Kwa kweli inakera na inaumiza mno, hasa kwa sisi ambao biashara zetu zinategemea Umeme kwa asilimia kubwa. Mnahatarisha vitendea kazi vyetu kwa kutokuwa na Umeme wa uhakika na biashara zinalega

Hahaa basi wakate hata wiki mzima ili warekebishe mwaka mzima mzima tuwe na umeme wa uhakika ndani ya saa zima umeme unawaka dkk zingine zote ni kuwaka na kuzima.wanakera bata wahed hawa in Malisa's voice
 
Haya mengine sio ya mungu ni ya KIZIMKAZI TU.kuzidiwa kete na wafanya bznes wanajipigia tu nchi hii. Mungu mwacheni kabisa katika UMEME.
Lolote unalolofanya au unalosema kinyume cha mapenzi ya Mungu utalitolea hesabu siku ya hukumu mkuu,kwa hiyo watu wanapaswa kuwa makini sana.Sio rahisi kama watu wanavyodhani.
 
Sekta ya Nishati na Mashirika nyeti kama TANESCO vinahitaji watu makini na wenye vision kubwa sana. Tatizo Utu na Uwajibikaji umeisha miongoni mwa viongozi wetu. Muda mwingine najuta kwa nini nilizaliwa katika nchi ambayo viongozi wake hawana Uwazi
 
Swala la umeme nchini mwetu linafikirisha sana,ni mzigo mkubwa sana,ambao watanzania tulio wengi tunashindwa kuubeba.Jambo la kushangaza ni kwamba hakuna anayepaza sauti yake kuongelea swala la umeme,si Wabunge,viongozi wa vyama vya siasa au viongozi wa dini,kila mtu amefumba kinywa,kuna nini nyuma ya pazia?Ni kama TANESCO hawatawaliwi na Sheria yeyote ya nchi na hawapo chini ya mamlaka yeyote,wanawasha wanapo taka na wanazima wanapo taka. Wengi tunajiuliza hali hii mpaka lini.Ndio tumeshawahi kuwa na matatizo ya umeme lakini si kwa kiwango hiki, tena mvua zinanyesha kwa wingi kwa hiyo ni wazi mabwawa yamejaa maji.Hapa nyumbani kwangu kwa mfano sikuwa na umeme tangu jana usiku,umerudi only 5 minutes ago saa 9:25,na sasa hivi saa 9:31 umekatika,and this is the norm. This situation is unbearable,new and extremely saddening.Tatizo ni nini haijawahi kuwekwa wazi hasa, ni kama tatizo hili haliwaathiri na wala haliwahusu Watanzania.Hivi watawala wamesahau kwamba upatikanaji wa vitu vya msingi kama maji na chakula vinategemea umeme,bila kusahau huduma za afya na biashara mbali mbali nk.nk.?Ni kama watawala wamejitoa ufahamu hivii....!

Tulishuhudia Makamba akiondolewa Wizara ya Nishati akiletwa Biteko, tukadhani nia ilikuwa njema kuboresha upatikanaji wa umeme.Kumbe nia ilikuwa kuongeza tatizo!Sasa umeme umekuwa ni a luxury commodity kwa Watanzania.

Inashangaza kwamba hapajawahi kuwa na tamko lolote "la kueleweka" si kutoka TANESCO au Serikalini kwamba kiini cha ukosefu wa umeme nchini hasa ni nini.To them kutotoa maelezo ya kina ya kueleweka is fine and well for them. Sijawahi kuona katika nchi yetu hali kama hii,ni kama hatuna Rais vile....It is indeed a shame.Hivi kwa hali hii CCM na Serikali yake inategemea wananchi 2025 waende kupiga kura kweli?Lazima nikiri itakuwa muujiza possible only in Tanzania with CCM. Labda magical spell ya mwenge itafanya kazi?Sijui bwana ngoja tusubiri.

Lakini naomba watawala wakumbuke kwamba Mungu amewaweka ili waongoze watu wake kwa niaba Yake. Wanapofika mahali hawajali ya Mungu wanajali yao, wanaingiza nchi katika laana na hasira ya Mungu. Ni jambo la kutisha sana kukabiliana na hasira ya Mungu head-on.Samia na genge lake wageuke,watubie uovu wao na waongoze Watanzania kwa haki,ili waepuke hasira ya Mungu.Kwa jinsi mambo yalivyo sasa ni vigumu sana nchi yetu kuepuka hasira ya Mungu at some point.

Binafsi nimefika mahali sasa nikiona tangazo la TANESCO popote nasikia kichefu chefu.Eti "TANESCO tunaangaza maisha yako,"acheni unafiki,watu wapo gizani halafu mnasema mnaangaza maisha yao,unafiki mtupu,sitisheni tangazo hilo mara moja,linazidisha tu hazira ya Watanzania.Watanzania tunataka umeme,maelezo yeyote mtakayo-toa yana-expose tu your rottenness as a system,we are fed up.Infact Mimi binafsi nimekwenda mbali na kuwaza au watawala wa dunia NWO through the WEF wameshatoa orders kwa serikali za dunia zianze kutesa wananchi wao,because this is simply unprecedented.
TANESCO inayaunguza maisha yetu!
 
Taarifa ifike kwa Makonda haraka sana.
Nina uhakika yeye ndiye mtetezi wa mwisho wa matatizo ya Watanganyika.
 
K
Swala la umeme nchini mwetu linafikirisha sana,ni mzigo mkubwa sana,ambao watanzania tulio wengi tunashindwa kuubeba.Jambo la kushangaza ni kwamba hakuna anayepaza sauti yake kuongelea swala la umeme,si Wabunge,viongozi wa vyama vya siasa au viongozi wa dini,kila mtu amefumba kinywa,kuna nini nyuma ya pazia?Ni kama TANESCO hawatawaliwi na Sheria yeyote ya nchi na hawapo chini ya mamlaka yeyote,wanawasha wanapo taka na wanazima wanapo taka. Wengi tunajiuliza hali hii mpaka lini.Ndio tumeshawahi kuwa na matatizo ya umeme lakini si kwa kiwango hiki, tena mvua zinanyesha kwa wingi kwa hiyo ni wazi mabwawa yamejaa maji.Hapa nyumbani kwangu kwa mfano sikuwa na umeme tangu jana usiku,umerudi only 5 minutes ago saa 9:25,na sasa hivi saa 9:31 umekatika,and this is the norm. This situation is unbearable,new and extremely saddening.Tatizo ni nini haijawahi kuwekwa wazi hasa, ni kama tatizo hili haliwaathiri na wala haliwahusu Watanzania.Hivi watawala wamesahau kwamba upatikanaji wa vitu vya msingi kama maji na chakula vinategemea umeme,bila kusahau huduma za afya na biashara mbali mbali nk.nk.?Ni kama watawala wamejitoa ufahamu hivii....!

Tulishuhudia Makamba akiondolewa Wizara ya Nishati akiletwa Biteko, tukadhani nia ilikuwa njema kuboresha upatikanaji wa umeme.Kumbe nia ilikuwa kuongeza tatizo!Sasa umeme umekuwa ni a luxury commodity kwa Watanzania.

Inashangaza kwamba hapajawahi kuwa na tamko lolote "la kueleweka" si kutoka TANESCO au Serikalini kwamba kiini cha ukosefu wa umeme nchini hasa ni nini.To them kutotoa maelezo ya kina ya kueleweka is fine and well for them. Sijawahi kuona katika nchi yetu hali kama hii,ni kama hatuna Rais vile....It is indeed a shame.Hivi kwa hali hii CCM na Serikali yake inategemea wananchi 2025 waende kupiga kura kweli?Lazima nikiri itakuwa muujiza possible only in Tanzania with CCM. Labda magical spell ya mwenge itafanya kazi?Sijui bwana ngoja tusubiri.

Lakini naomba watawala wakumbuke kwamba Mungu amewaweka ili waongoze watu wake kwa niaba Yake. Wanapofika mahali hawajali ya Mungu wanajali yao, wanaingiza nchi katika laana na hasira ya Mungu. Ni jambo la kutisha sana kukabiliana na hasira ya Mungu head-on.Samia na genge lake wageuke,watubie uovu wao na waongoze Watanzania kwa haki,ili waepuke hasira ya Mungu.Kwa jinsi mambo yalivyo sasa ni vigumu sana nchi yetu kuepuka hasira ya Mungu at some point.

Binafsi nimefika mahali sasa nikiona tangazo la TANESCO popote nasikia kichefu chefu.Eti "TANESCO tunaangaza maisha yako,"acheni unafiki,watu wapo gizani halafu mnasema mnaangaza maisha yao,unafiki mtupu,sitisheni tangazo hilo mara moja,linazidisha tu hazira ya Watanzania.Watanzania tunataka umeme,maelezo yeyote mtakayo-toa yana-expose tu your rottenness as a system,we are fed up.Infact Mimi binafsi nimekwenda mbali na kuwaza au watawala wa dunia NWO through the WEF wameshatoa orders kwa serikali za dunia zianze kutesa wananchi wao,because this is simply unprecedented.
Kwanini mnakuwa mnaandika makala ndefu za hivi bila ya kumhusisha Samia moja kwa moja?
 
K

Kwanini mnakuwa mnaandika makala ndefu za hivi bila ya kumhusisha Samia moja kwa moja?
Unaweza kuandika makala ya kwako na wewe ukamtaja moja kwa moja.Ila mimi niliona kwamba hakuna haja ya kumtaja kwa kuwa tatizo lolote la kitaifa linamhusu.
 
Unaweza kuandika makala ya kwako na wewe ukamtaja moja kwa moja.Ila mimi niliona kwamba hakuna haja ya kumtaja kwa kuwa tatizo lolote la kitaifa linamhusu.
Sitaki kuandika makala kurudia walichokwisha kisema wenzangu kama wewe.

Tutaanzisha makala ngapi kwa ishu moja yanye kufanana?

Ninapokujibu jikite kwenye point ya comment yangu, kucomment kwangu ndiyo kuisongesha thread yako bhana, Sema hatulipwi kama YouTube.

Hapo mimi nimeshauri kama kukuunga mkono pia kukukumbusha 'kona' uliyosahau kuipitia kama angalizo.

Kwa sababu kiuwajibikaji, madhila ya umeme wanayoyapata waTz yanatokana na watendaji wa Wizara aliowateua Rais.

Figisu zote za kiuwajibikaji tunaziona kuwa ni baraka zake, vinginevyo bila Rais kuridhia tatizo hili liendelee kuwepo, basi lingelikuwa liliisha siku nyingi na kubakia historia(mnyororo wa utendaji Serikalini unaujua).

Tatizo letu waTz tuna ugonjwa unaoshabihiana (unafiki) kutokulisema jambo kwa uwazi na kulisemea pembeni ili mbele ya viongozi wasiofaa tuonekane ni watu wema.
 
Back
Top Bottom