Shule bora za Serikali, enzi hizo

Shule bora za Serikali, enzi hizo

Inaonekana hufahamu jf ina watu wa aina gani . Si ajabu baba yako na mama yako wamo humu. Narudia kuwa elimu yako na hoja zako vinafanana. ndio shule zetu za leo mkuu

Ndio matokeo ya smart phone za bei nafuu haya, kuanzia 2012 jf zinaletwa mada za ajabu ajabu wachangiaji wake
 
Enzi hizo mpaka ikawa inaitwa Rungwe the Champion ...umeanzaje kuiachaa
 
​Inategemea kwa miaka ipi lakini kama ni kuanzia miaka ya 2000's kuja huku basi ujue hali ya nyumbani kwenu kiuchumi ilikuwa mbaya
 
Lectures wengi walisoma Seminary cheki UDSM, ARU, MZUMBE etc. Hawakuwa wajanja ?
 
naona katika list uliyoiweka umegusia zaidi gvt schools. ila kusoma hizo shule kwa wengine ilitegemea na matakwa ya mzazi; mfano mimi o and a level nimechaguliwa mbili kati ya shule tajwa lakini mara zote mzazi alisisitiza kusoma seminari hivyo nilisoma seminari kwa o and a level. performance yangu ilikua yakuridhisha tu ingawa sikusoma any of those schools. kuna seminari kama maua; lutheran juniour seminary; niizungumzie hiyo ya pili maana nimesoma hapo kiukweli hii ni moja ya shule bora kabisa maana ukiangalia wengi wa graduates wa hapo ni watu wenye nidhamu na bidii; ninaokutana nao wote hakuna aliyepigika mambo yamewanyookea; kwanini misingi tuliyokuzwa nayo pale ni ya discipline and hardwork; hivyo tunakua makini katika kujali muda na katika utendaji pia, pale ni mahali bora kabisa na wala sijutii kupitia pale. Namshukuru Mungu sikuzote kwa nafasi ile.
 
Mazengo poa sana,Domi la ujamaa middle.wapi master Msasa?
Mkwawa nako kumetulia sana,wapi Mgohamwende?
Dodoma sec nayo enzi za kaishozi,daah nakumbuka mbali sana.wapi kalova? Wapi Nyamdindi? Wapi Mkunga mtingele?
Shule raha sana
 
Kwa shule za msingi kuna Manyara ranch ilikuwa inatisha balaa.. hiyo ni miaka ya 90
 
Nimesoma Magu sec, nikaenda A level Tarime sec..... Bsc... Msc... Netherlands, nafanya phd university of Sydney.... Wewe na Galanos yako unauza ndizi soko la ndizi mabibo!
 
Ww mleta uzi ndio kilaza, sasa NDANDA BOYZ unaiachaje?? acha huba
 
Duh! umenikumbusha Kigoma Secondary miaka ya 1980. Mwl Lwinga, Mutobesya, Mngodo chini ya uongozi wa Mazigo (rip) na Chaka. Wakati huo Tabora yupo Msemakweli. Ilikuwa raha sana.

Msemakweli alikuwa milambo tabora
 
*Bwiru Boys Technical
*Tabora Boys Secondary
 
Back
Top Bottom