TIKO TRICKS
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 185
- 90
Pia ugumu wa maisha ya familia zenu ulisababisha mkang'ang'nia hiyo mishule...hamkuwa na namna lazima mzisome tu...
Nashangaa cjui anaiachaje NJOSS. Ilikua maarufu sn mkoa wa iringa, Tosa na ifunda zilkua haziifikii Njoss. Km nauona ivi msitu wa ndovu apo nalala dom3 gorofan kabsaa
mwakaleli sec umeiacha amakweli we ndo kilaza kabisa
Kwa hyo JF kila mtu alifika hadi A- level na yamkini na minimum wengi ni degree holders?
Kama hujapita jitewute jitegemee ni mbulula kabisa wa maisha...hiyo mishule tulichaguliwa tukaikataa
Duh umenikumbusha mbali sana.. Mimi ni mzee Complex.. Mazengo.. Msasa alihama kwenda Nsumba then akaja na Mgohamwende..huyu alikuwa powa sana... kwa upande mwingine wa Kaishozi aisee ni balaa... Kaishozi alikuwa mkorofi sana na walikuwa wanaelewana na Msasa.. Msasa na pikipiki yake Honda XL 150 na Kaishozi Landrover Defender... walikuwa wanatisha aisee wakiona mwanafunzi hata kama si wa shule yake halafu analeta upuuzi mtaani anabananishwa
Haaa mzee wa complex,najua umelimiss sana GIMA.
Msasa na ile XL yake ni noma,huyu alitokea Mtwara tech nafikiri.
Kaishozi na Defender lake,enzi hizo ma-defender ndo yanatoka tu.yaani akipita town mwanafunzi yeyote kama ni muda wa masomo afu akudake umekwisha.
Wahuni wote wa Central sec wanamjua huyu jamaa.
Pia ugumu wa maisha ya familia zenu ulisababisha mkang'ang'nia hiyo mishule...hamkuwa na namna lazima mzisome tu...
Nimemiss Gima, Nyuka, Mitaa, vikuyu, Mzee Shedi.. nk.. Mimi nilikuwa nakaa Azimio Room no 1 down..
Nashukuru kwa kutambua shule yanguKama haumo humo jua wewe ulikuwa kilaza. Kwi!
Kwi! Kwi!


