Shule bora za Serikali, enzi hizo

Shule bora za Serikali, enzi hizo

Unazeeka vibaya, umesahau JF inaweza kuwa na members zaidi ya 30% ambao wamesoma kwenye shule zinazoitwa ST. E.g St.Hassan, ST. Mariam, ST. Joseph, ST. Mwiru etc. wote hawa unawaona vilaza? Waalimu wengi wa vyuo vikuu bongo hapa wamesoma kwenye hizo shule.

Hakuna St.Hassan mkuu!,labda unibabadulie vizuri,maana ninachokojua mimi kule kwa mama wa kambo huwa hawaamini mambo ya Sainthood.
 
hiz shule zilikuwa za kanisa roman catholic nk gvt ikazitaifisha
bt baadh ya shule zisharud kwa hinaya ya kanisa
mfn
forodhan~now st joseph cathedral ambay imetoa TO mwaka jan n mwaka huu advnc
Pugu;ipo kwny mkakat wa kurud kanxan
nk
 
Nimepitia moja ya hizi shule ila mmmh! Hoja haina mashiko sana mana naona wengi walopitia hizi shule ndo tuliochangia kuporomoka na kurudi nyuma kwa maendeleo ya hii nchi. Jaribu kufwatilia tuliowapa dhamana ya uongozi wa sehemu mbali mbali wamepitia shule gani? Na walio kwenye ofisi mbali mbali waliopitia hizi shule. Tulikuwa tukifaulu kwa kuogopa adhabu tu za kutesana tumeshindwa kuwa hata wabunifu kwa kukaririshwa! Asilimia kubwa ya wajasiriamali na wawekezaji na wanajitahidi kuinua uchumi wa hii nchi mfano wafanya biashara hata kwenye miti hawakupitia

Bora yako mkuu wewe umejisemea Ukweli!!,na siku zote msema Ukweli ni Mpenzi wa Mungu.
 
hiz shule zilikuwa za kanisa roman catholic nk gvt ikazitaifisha
bt baadh ya shule zisharud kwa hinaya ya kanisa
mfn
forodhan~now st joseph cathedral ambay imetoa TO mwaka jan n mwaka huu advnc
Pugu;ipo kwny mkakat wa kurud kanxan
nk

Yaani watu wanalichukia tu bure Kanisa Katoliki,Matunda yake ni mengi na yaliyo bora,lkn basi ndo hivyo utafanyaje sasa?,Shukrani ya punda siku zote ni mateke.
 
Mie Nilisoma shule bora East Africa Budo Secondary School ipo Kampala hujaiweka mkuu japo Primary nilifaulu kwenda kweny moja ya shule tajwa hapo juu.Mwaka Jana Tambaza ilikuwa ya tatu kutoka mwisho matokeo ya kidato cha Sita eti nayo asopita hapo ni Kilaza mi nadhani walopita hapo ndo vilaza. Mnyika alitoka na one kali sana seminary akatia maguu Tambaza form six akala three.


mkuu umenikumbusha mbali sana,king's college budo
 
Shule yangu mkwawa, bweni Makongoro West , headmaster Mr. MBAO, second Mr Tende, Wali maharage kwa mzee Chuwa na Nelkon.
RIP Nelkon.
 
Huwez I-list Tosa BoYz bila ZOO(Iringa girls)


Na huwez i-list Songea Boyz bila TAMSALA(Songea girls)

Ongezea na
Iringa Girls
Songea Girls
 
Kuna wa2 wamexoma xhule za kata na wanakula bata serikaln hao walioxoma kweny izo xhule zako wanauza karanga kilaza ni nan apo?
 
Back
Top Bottom