Shule bora za Serikali, enzi hizo

Shule bora za Serikali, enzi hizo

Wapi st Marys st Antony na st Joseph nao ni vilaza kumbe
 
Fikra hizo ni sawa na ile fikra ya kuku anayetaga mayai makubwa mliamini kuku huyo ni wa "kizungu" hamna ak...li kabisa
 
Nawajua watu wengi sana Ambao hawakufanikiwa kusoma shule hizo lakini wanaakili kweli baada ya kukutana five au chuo kikuu wamewakimbiza wengi na kuongoza na Leo wana kazi nzuri na vitengo vizuri sasa huu ukilaza ni upi wakati waliosoma humo wengi wapo mtaani wame disco
 
hizi shule zinaongoza kwa kutoa mashoga maarufu nchini

rejea;
anti kessy ~ mwanza sec
anti bilaly~ilboru sec
anti salumu~mzumbe sec
na wewe mtoa mada kwenu mna baa kwa nyuma ndo mana unabld kuptia masabuuuuur
 
Duh.. kama kweli vile lakini hazina nguvu kwa sasa but watu wengi ambao ni above 30 watakua wamepita humo..... Ajabu ni kwamba umeisahau MPWAPWA..
 
Mazengo poa sana,Domi la ujamaa middle.wapi master Msasa?
Mkwawa nako kumetulia sana,wapi Mgohamwende?
Dodoma sec nayo enzi za kaishozi,daah nakumbuka mbali sana.wapi kalova? Wapi Nyamdindi? Wapi Mkunga mtingele?
Shule raha sana

Duh umenikumbusha mbali sana.. Mimi ni mzee Complex.. Mazengo.. Msasa alihama kwenda Nsumba then akaja na Mgohamwende..huyu alikuwa powa sana... kwa upande mwingine wa Kaishozi aisee ni balaa... Kaishozi alikuwa mkorofi sana na walikuwa wanaelewana na Msasa.. Msasa na pikipiki yake Honda XL 150 na Kaishozi Landrover Defender... walikuwa wanatisha aisee wakiona mwanafunzi hata kama si wa shule yake halafu analeta upuuzi mtaani anabananishwa
 
Kwa hyo JF kila mtu alifika hadi A- level na yamkini na minimum wengi ni degree holders?
 
...kaangalie kwenye matokeo ya form six ya mwaka jana au juzi nadhani hakuna hata moja ya hizo kwenye 50 bora. Ilboru ni ya hamsini na tatu na ndo inawaongoza Wa serikalini. Ingawa Mimi nimo katiyazo, hamnamo kitu anymore....

.......Kwiro ipo kwenye kumi chafu mwaka huu
 
shule yangu imesimama hapo kati ila doesn't
matter....hii ilikuwa mambo ya zamani kujitamba
na shule yako... vijana we have a lot to do...hii
tuwaachie watoto...
 
Nashukuru kwa kutambua uwezo wa Iyunga tech those days though mademu zetu wa Loleza a.k.a Loz angels siwaoni ....wale wa Meta, Mbeya day, sijui Sangu wanafaham ubora wetu
 
Kama hujapita jitewute jitegemee ni mbulula kabisa wa maisha...hiyo mishule tulichaguliwa tukaikataa
 
Back
Top Bottom