Na wewe kachovu ka-ccm umesoma shule za Mwanza? Utakuwa mmoja wao wa wale tulikuwa tunawakimbiza miaka hiyo ya '90s nini? Waulize SESECO habari ya GESECO miaka hiyo!!!Sijaiona Lake Secondary ya Magadula R.I.P kuna mdogo wangu alikuwa anasoma pale alinisumbua sana miaka ya 90s.
mawazo na uandishi wako unaakisi elimu uliyopata
Swala sio elimu niliyopata swala ni kwamba kuna watu humu inabidi wakubali kwamba they messed up big time. Mtu anasema alikuwa secondary 1980, kuanzia mwaka huo mpaka 2015 ni takribani 35 years plus hiyo aliyokuwa nayo. Naanza kuamini kuwa humu ndani asilimia kubwa ni 45+ years.
Sasa mijitu imeenda umri mibabu kabisa kila siku JF kulia maisha magumu. Hizo kweli shule za VILAZA. mlikuwa wapi wakati wenzenu wanatafuta maisha. Hamjisikii aibu kutwa kutukanana na vijana humu JF. POLENI SANA
Ulikuwa Simba, Nyati, Twiga, Tembo au Chui?
Nashangaa cjui anaiachaje NJOSS. Ilikua maarufu sn mkoa wa iringa, Tosa na ifunda zilkua haziifikii Njoss. Km nauona ivi msitu wa ndovu apo nalala dom3 gorofan kabsaa
Inaonekana hufahamu jf ina watu wa aina gani . Si ajabu baba yako na mama yako wamo humu. Narudia kuwa elimu yako na hoja zako vinafanana. ndio shule zetu za leo mkuu
Njoss haijawahi kuwa bora zaid ya Ifunda!Nashangaa cjui anaiachaje NJOSS. Ilikua maarufu sn mkoa wa iringa, Tosa na ifunda zilkua haziifikii Njoss. Km nauona ivi msitu wa ndovu apo nalala dom3 gorofan kabsaa