born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,333
- 1,497
Dodoma nuru au sekondari
Dodoma Nuru tupa kuleee
Dodoma nuru au sekondari
Mazengo poa sana,Domi la ujamaa middle.wapi master Msasa?
Mkwawa nako kumetulia sana,wapi Mgohamwende?
Dodoma sec nayo enzi za kaishozi,daah nakumbuka mbali sana.wapi kalova? Wapi Nyamdindi? Wapi Mkunga mtingele?
Shule raha sana
Mliopita Mkwawa mnawakumbuka Ngui (rip) na Mgimwa (pygmy)? Walikuwa wanoko sana. Hahahaha!
Kinara Wa ablution za simba, nilikuwa nawavurumsha wanao "tupa wazungu weupe{masterbation}" bafuni asubuhi asubuhi. Asee
Acheni utani hizo ni shule bora za enzi hizo, enzi ambayo serikali ilikuwa inajali elimu....
Kasahau mtwara tech na ifunda tech