Shule bora za Serikali, enzi hizo

Shule bora za Serikali, enzi hizo

Hahahaaaa naiona Magamba Boyz hapo. Safi sana. Haya Gambian Boyz kujeni huku akina Mbunge Mtarajiwa Mohamedi Mtoi

sikuizi hakuna magamba sec, wamebadilisha sikuizi ni chuo <SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY> SEKOMU
nilieandika ni first year wa hapo.....................................................................................................................................................................................
 
Hiyo ni zamani za baba wa taifa,nyingi miundo mbinu imechakaa vyoo vimejaa unaingia chooni bila nguo vinginevyo utanuka,vitanda vingi vimevunjika na vilivyopo vina kunguni pia nyingi zina matatizo ya maji kwa ujumla shule hizo mazingira si rafiki kwa mwanafunzi imebakia sifa za zamani nafuu shule za binafsi.
 
Japokuwa mimi nimesoma Azania na Tambaza ambazo zipo hapo, lakini bado naichukulia hii thread ya kibwege sana. Nina jamaa kadhaa nawafahamu walisoma Mzizima, Shaaban Robert, Jitegemee n.k. walikuwa vichwa kweli kweli na wamefika mbali sana kielimu!
 
Umenena , sie ndio tunaijua hii tz na siasa zake ndio maana tutakuambia huyu sio huyu ndio, ninyi mnajua siasa za Wema sepetu sijui team nani sie tuliosoma vizuri neno team halipo kwenye kamusi yetu-tupo analytical. mmekosa elimu nyie vijana wa feza girls mariana girls

Kubalini kataeni yaani uzao wenu nyinyi ni uzao uliopotea. Wenzenu umri wenu mliosoma nao wako vizuri kwa umri wao hata hawahangaiki kuja kupigizana kelele. Nyie mlichezea maisha matokeo yake ndio haya.
 
nilifaulu shule mbili la saba na form four zilizopo kwenye list yako ila nikaendaga private shaaban robert je mimi nikilaza pia?
 
Nilipita malangali , ukilaza ni mtu na si shule
 
wengi na sio wote waliochaguliwa ktk shule hizo walikuwa na uhusiano mkubwa na walimu wakuu na wengi walikuwa wa kawaida sana darasan na hata walipofika huko waliambulia matokeo ya kufedhehesha, kuna mtu kaitaja Gambian hapa yeye atakubaliana na mim wale vichwa pombe na bangi ya cost na kitivo mwisho wao ulikuwaje na sasa awatafute atajua .
 
Mleta uzi wew na ukoo wako ni vilaza wotee

Watu wamesoma Namtumbo huko vijijini na wanameki headline mjini...
 
nilifaulu shule mbili la saba na form four zilizopo kwenye list yako ila nikaendaga private shaaban robert je mimi nikilaza pia?

Wewe ni mjanja vilaza ni hao walionda kwenye hizo shule wanaonyesha wana maisha magumu sana. Sio unaona jitu limesoma 1980 lipo JF baada ya kuangalia alipotea wapi anakuja kumaliza stress humu na kuubariki umaskini wake
 
Daah chama langu mazengo Boyz tulikimbiza dodoma nzima kudadadeki
 
Katika hizo shule ulizotaja kuna hata moja ada inazidi milioni? Unaipima akili kwa kusoma shule za bei rahisi. Badilisha title ya thread yako IWE KAMA UMESOMA KATIKA SHULE HIZI BASI WEWE NI MASKINI.

Wajanja waliosoma Loyola, Cambridge , St. Marrys, Makongo, Jite ya enzi hizo, St. Anthony ya miaka hiyo, FEZA boys na nyinginezo nyingi.

Hizo shule ulizotaja hakuna chochote cha maana zaidi ya kujifunza kunywa MATAPUTAPU katika umri mdogo.

KIPIMO HALISI: Angalia tuu mlivyojazana humu JF lazima mtakuwa na kasoro tuu. Au MAPIMBI SQUARE

Mbona kama umepanic braza.....&#128526;&#128526;&#128526;&#128526;&#128526;&#128526;, ukiwa na hela na hauna akili utasoma IST, ila ukiwa hauna hela wala akili huwez soma hizo shule tajwa, ...na ukiwa huna hela ila una akil utasoma hizo shule pia....
 
Kumbe mimi sikuwa kilaza nilisoma shule mbili kutoka kwenye hiyo list!!!!

Tiba
 
Ni kilaza hasa, wapi Ndanda secondary, Mtwara technical, Mtwara girls, Masasi girls.

Unaiacha Mtwara Tech? Chidya Boys? Umeweka zile zilikuja kichwani mwako wakati unaandika post.
Miongoni mwa hizo ulizozitaja kuna shule hazikuwahi kugusa level za Mtwara Tech wakati huo, na hazitawahi.
 
Back
Top Bottom