Kwani hawezi kugombea kupitia ADC?Mbona nasikia kinaanza kuwa na nguvu huko Mwandiga?Ama kama wewe ni cuf ama ccm kwanini usimwombe aje huko kugombea?Ama mbona hugusii kuhusu CHAUMA?Heck The Boss amemshauri afunguwe chama chake!we bado huoni tu?Duh!Usitype just because una vidole na mbele yako kuna kifaa cha kutype na wewe unabonyeza tu........
Kwahiyo suala limekuwa sio kuombwa tena? je kwanini iwe Zitto aanzishe chama? Kwanini isiwe slaa?
Kama wengi mnavyotaka kubainisha slaa anakubalika kwa nini yeye asianzishe chama chake? mtaji wa wanachama na mtandao anao kama wengi mnavyodai lakini kwasababu halina ukweli ndio sababu anan`gang`nia Chadema na kuwapikia majungu na fitina viongozi wenzake;
Mkuu hizo propaganda zenu ongeeni kwenye mbege; Zitto anakubalika na ndio sababu yupo na ataendelea kuwepo Chadema;
Slaa ni pepo za kusi tu hazimzuii mvuvi makini kuingia baharini na mwisho wa pepo za kusi ni 2015 baada ya hapo ataamua mwenyewe kulea mwanaye na kitukuu au kurudi kumtumikia Mungu. Zitto bado kijana nyota yake itaendelea kung`ara kwenye medani za siasa.
Chama
Gongo la mboto DSM
CC: Ritz; Mohamedi Mtoi; Mwita Maranya; Matola; Pasco