Should CHADEMA Fire Zitto?

Should CHADEMA Fire Zitto?

Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

  • YES

    Votes: 137 65.9%
  • NO

    Votes: 57 27.4%
  • May be

    Votes: 10 4.8%
  • I don't know

    Votes: 4 1.9%

  • Total voters
    208
Status
Not open for further replies.
Umeishiwa na hoja tangu lini mbege imegeuka tusi kwa mchaga? Ni ukombozi upi ambao Chadema mnataka kumkomboa mtanzania? Watanzania tupu huru siku nyingi sana nadhani kabla hujazaliwa hizo propaganda zenu za ukombozi tafuteni kwa kuzipeleka; wewe ndio mshabiki mkubwa makundi leo unamtuhumu Zitto kwa makundi ama kweli "Nyani haoni kundule"

Chama
Gongo la mboto DSM

hii akili unayotumia sio yako mkuu! Nahisi ni ya bosi wako nape! Plz mkuu changanya na ya kwako huenda ukatoa mchango wenye manufaa! Ni hayo tu,
 
Last edited by a moderator:
Mtu yeyote yule akivurugae chama for personal glory should be fired regardless of the status, vyama vingi Tanzania vimeshindwa kukick off kwa kuangalia uso wa mtu, siku zote ukitaka kumuua nyani usimtazame usoni, ni busara kuepukana na mwanachama yeyote aendae kinyume na matakwa ambayo ni constructive kwa chama chake.
 
Nilipenda hii iwe poll, mods please if you can help on that I will appreciate. Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa, inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,

Yaani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?

Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired, usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared, just do the same.


Update:Baada ya issue ya kina Ben Saanane na wengineo,ni vyema chadema wakakaa kikao cha kamati kuu kulizungumzia hilo jambo na kulimaliza once and for all!Hakuna sababu ya kuendeleza malumbano kwenye chama,hayo badala ya kujenga yanaharibu.Maneno yanayosemwa na hao wanachadema huwezi kuamini kama na wao ni wanachama wa chama hicho.Wapo ndani ya chama lakini wanahubiri kuwa chama ni cha kidini,kikabila na kikanda.Kamwe watu hao hawawezi ku coexist na viongozi wenzao na chama kikabaki salama,hilo haliwezekani.Wakati wa kufanya maamuzi magumu ni sasa,hilo litawafanya wapenzi wa chadema waweke heshima kwa chama na pia kufutilia mbali dhana ya kuwa na viongozi na wanachama wenye ushawishi kueneza chuki dhidi ya viongozi wengine na chama kwasababu tu ya kutaka madaraka.Pia kama imani ya kwamba viongozi fulani wanataka kumuuwa kiongozi fulani,imani hiyo ni ya hatari sana endapo jambo lolote litampata kiongozi huyo akiwa bado yupo ndani ya chama.Hivyo maoni yangu ni kwamba muyamalize as soon as possible.

Hivi kama ukweli ndani ya walichokisema hao viongozi kuwa ndani ya CDM kuna ukabila, udini na ukanda unafikiri kuwafukuza itakuwa ni tiba? kwa nini tiba isiwe kuacha ukabila, udini na ukanda na siyo kuwafukuza hao viongozi?
 
Nasubiri tamko la kufukuzwa hawa wasaliti hasa Zitto,huyu akivuliwa uanachama nina uhakika heshima ya chama itarudi.Kuna kila ushahidi huyu ni gamba,na Ben aliweka mpaka ushahidi,nadhani katika viongozi wa ngazi za juu huyu ndo msaliti mkuu na anayepanda fitna,majungu,na kuchafua viongozi,akifukuzwa madiwani hawa wanaotusaliti hawatakuwa na nguvu.


Sintapigia kura tena CHADEMA 2015 kama ZITTO atakwepo !
 
Nasubiri tamko la kufukuzwa hawa wasaliti hasa Zitto,huyu akivuliwa uanachama nina uhakika heshima ya chama itarudi.Kuna kila ushahidi huyu ni gamba,na Ben aliweka mpaka ushahidi,nadhani katika viongozi wa ngazi za juu huyu ndo msaliti mkuu na anayepanda fitna,majungu,na kuchafua viongozi,akifukuzwa madiwani hawa wanaotusaliti hawatakuwa na nguvu.


Sintapigia kura tena CHADEMA 2015 kama ZITTO atakwepo !


Good riddance. Go away.
 
suluhisho sio fukuzafukuza...mkuu na hata usipo piga kura wewe tupo tutaoendelea kupigia kura CHADEMA kaa pembeni...kwanza tumechoka siasa za kila siku zitto...ashafahamika...hang'ati tena...
 
wewe unaonekana hata ukigombana na mmeo/mkeo suruhisho ni kutarikiana ni mawazo mgando kufukuzana ni hatua ya mwisho..
 
Huyu Zitto asipofukuzwa najua viongozu wa juu nao wanasababu za kuogopa mambo yao kufichuka
 
Hawawezi kumfukuza coz mamluki ndio wanaoleta shida ww rudisha kadi tu tuachie CDM yetu kavae yanga kaka!
 
Unadhani CDM watafanya kazi kwa shinikizo la kila mtu? Je wewe ni nani kutaka watu wafukuzwe kwa sababu unazozijua wewe? Je uliwahi kufikiria kuanzisha chama chako cha Nyama Ugali na Maharagwe? Kwanini usianzishe chama chako? Je huwa unasoma soma habari hata sheria za uanzishaji na uendeshaji vyama vya siasa? Je umetumwa au umejituma? Je mawazo yako ni msaada au hasara kwa chama? Uliwahi kuwa mwanachama wa magamba hayo unayowasakizia wenzio? Think more.
Nasubiri tamko la kufukuzwa hawa wasaliti hasa Zitto,huyu akivuliwa uanachama nina uhakika heshima ya chama itarudi.Kuna kila ushahidi huyu ni gamba,na Ben aliweka mpaka ushahidi,nadhani katika viongozi wa ngazi za juu huyu ndo msaliti mkuu na anayepanda fitna,majungu,na kuchafua viongozi,akifukuzwa madiwani hawa wanaotusaliti hawatakuwa na nguvu.


Sintapigia kura tena CHADEMA 2015 kama ZITTO atakwepo !
 
wewe unaonekana hata ukigombana na mmeo/mkeo suruhisho ni kutarikiana ni mawazo mgando kufukuzana ni hatua ya mwisho..

Kwahiyo we umeona mkeo anamgawia mwingine na anacheat halafu kutoa talaka huwezi?
 
Hawawezi kumfukuza coz mamluki ndio wanaoleta shida ww rudisha kadi tu tuachie CDM yetu kavae yanga kaka!

Kwahiyo kama kuna ushahidi anamtumikia mwingine kwanini uendelee kuwa naye?
 
suluhisho sio fukuzafukuza...mkuu na hata usipo piga kura wewe tupo tutaoendelea kupigia kura CHADEMA kaa pembeni...kwanza tumechoka siasa za kila siku zitto...ashafahamika...hang'ati tena...

Kwahiyo upo tayari chama kuishi na mamluki?
 
Kwanini wasiweze kumfukuZa?

Wamfukuze kwa kipi??maneno ya kusikia sikia kwa watu wanafiki walio dandia treni kwa mbele??haiwezekani kaka sio ki hivyo ww unafikiri kati ya Shibuda na Zitto nani hafai??unaweza jibu hilo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom