Should CHADEMA Fire Zitto?

Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

  • YES

    Votes: 137 65.9%
  • NO

    Votes: 57 27.4%
  • May be

    Votes: 10 4.8%
  • I don't know

    Votes: 4 1.9%

  • Total voters
    208
Status
Not open for further replies.

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,989
22,521
Nilipenda hii iwe poll, mods please if you can help on that I will appreciate. Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa, inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,

Yaani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?

Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired, usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared, just do the same.


Update:Baada ya issue ya kina Ben Saanane na wengineo,ni vyema chadema wakakaa kikao cha kamati kuu kulizungumzia hilo jambo na kulimaliza once and for all!Hakuna sababu ya kuendeleza malumbano kwenye chama,hayo badala ya kujenga yanaharibu.Maneno yanayosemwa na hao wanachadema huwezi kuamini kama na wao ni wanachama wa chama hicho.Wapo ndani ya chama lakini wanahubiri kuwa chama ni cha kidini,kikabila na kikanda.Kamwe watu hao hawawezi ku coexist na viongozi wenzao na chama kikabaki salama,hilo haliwezekani.Wakati wa kufanya maamuzi magumu ni sasa,hilo litawafanya wapenzi wa chadema waweke heshima kwa chama na pia kufutilia mbali dhana ya kuwa na viongozi na wanachama wenye ushawishi kueneza chuki dhidi ya viongozi wengine na chama kwasababu tu ya kutaka madaraka.Pia kama imani ya kwamba viongozi fulani wanataka kumuuwa kiongozi fulani,imani hiyo ni ya hatari sana endapo jambo lolote litampata kiongozi huyo akiwa bado yupo ndani ya chama.Hivyo maoni yangu ni kwamba muyamalize as soon as possible.

50thebe said:
jmushi1 suggests that Chadema should fire Zitto...

I suppose the principle of fire for fire should be cautiously employed at this stage. Abstractedness or rather hypothetical evidences produced by Ben Saanane, Tuntemeke and co. suggests that their team has failed to accomplish their original mission (if there was any). I just wonder how happy are Mbowe and Slaa by now.

Back to jmushi1 question, my attempts to restructure the question gave me the following pictures
1. SHOULD ZITTO FIRE CHADEMA?
2. SHOULD FIRE CHADEMA ZITTO?
3. SHOULD ZITTO CHADEMA FIRE?

Hey, just take few minutes to reflect any orientation of these four strong words proposed by jmushi1.

In essences, I trust Chadema anticipated twists and turns of her members hence there are exit clauses and guidelines for disciplinary actions for her members. If CHADEMA, I repeat, if CHADEMA operates as a business entity which seeks to create a brand and sell the business with marginally profit, then they should not only keep Zitto and but also embrace his ideas.

But if CHADEMA operates as a political party that seeks to take power back to the citizen through citizen empowerment, equity and accountability based on fairness and justice, they should discipline Zitto Zuberi Kabwe based on party's constitution. If it deems fit to fire Zitto let it be; because Zitto might continue to fire CHADEMA day in day out, more so, who can predict the outcomes and the impact of Zitto FIRE(ing) Chadema?
 
Nilipenda hii iwe poll,mods please if you can help on that I will appreciate.Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa,inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,yani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired,usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe sapared,just do the same.
Hapo red sijakuelewa, huenda ulimaanisha spared.
I still have trust in Zitto.
Nasita sana kuamini kuwa this too smart boy could be tempted with money-thing!
Aidha naijutia siku ambayo kamati itagundua na kuweka wazi kuwa Zitto amepokea rushwa in the name of money or whatever token!
Heri ziku hiyo isingalizaliwa chini ya jua!
 
Hapo red sijakuelewa, huenda ulimaanisha spared.
I still have trust in Zitto.
Nasita sana kuamini kuwa this too smart boy could be tempted with money-thing!
Aidha naijutia siku ambayo kamati itagundua na kuweka wazi kuw Zitto amepokea rushwa in the name of money!
Heri ziku hiyo isingalizaliwa!
Ndiyo mkuu nilimaanisha "spared", nashukuru kwa masahihisho.Nakubaliana na wewe,lakini pia kumbuka Mh Zitto amesema hizi ni siasa za majitaka na kwamba hakuna ushahidi,pia amedai ni siasa za urais,hii ina maan anaamini kuwa anapigwa vita ndani ya chama na pengine kinahusika kumchafua kwa rushwa?
 
Nilipenda hii iwe poll,mods please if you can help on that I will appreciate.Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa,inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,yani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired,usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe sapared,just do the same.

Mi bado naamini Zitto hana hatia wanamset tu ukiangalia wanaotuhumiwa nao ukiwafananisha nae ni kama magarasha kwenye karata, yaani hayategemewi tena hivyo kuwatoa kafara kimtindo haina noma, najua hatakaa kimya tutapata ukweli.
 
Jmushi1,
Ni lazima uwepo ushahidi unaojitosheleza na usio na mashaka juu ya tuhuma.
Huko nyuma alishawahi kusema ikithibitika amechukua rushwa atajiuzulu ubunge na waziri Mkulo naye aahidi, matokeo yake sakata likaisha ukiwa ni ushidi kuwa alitaka kuzushiwa tu. Tunawezaje kusema huu na si uzushi tu!

Lakini kwanini iwe ZZK wakati bunge zima linanuka rushwa! tena zenye ushahidi. Si wao ndio wanufaika wa 'Jairo mapesa' n.k. Si wao ndio wapo kwenye kamati kama za akina Kafulila zinazochukua rushwa kama allowance!

Politically, CDM wasijaribu hili. Walishajifunga mikono huko nyuma kwa kushindwa kuchukua hatua dhidi ya watu mbali mbali. Kwa mazingira yaliyopo si muafaka hata kuongelea. Just a caution!
 
daah naombea isiwe kweli...huu mwisho wa zitto utakuwaje mbaya kisiasa?
but nadhani kama ni kweli atakuwa alichota fungu la kutosha maana ....
 
Zitto ni mtu muhimu kwa chama,ametoa mchango mkubwa ktk ukuaji wa CDM.Hata hivyo kama itathibitika pasipo na shaka kuwa alipokea rushwa uamuzi sahihi ni kumtimua ili ajue na watakaobaki wajue kuwa CDM kama chama tunachukia rushwa zaidi ya kumtimua kiongozi.

CDM wafanye kilichofanywa na ANC kwa malema ni ku-fire tu mbona madiwani waliwafanyia hivyo kwani zitto ni zaidi ya chama????
 
Ushahidi ukiwepo...........afukuzwe...... Chama kinajiandaa kuchukua dola kikiwa na watu wasafi ili kutenda usafi,nchi iwe safi. Kama ni msafi basi atakuwa among top leaders baada ya uchaguzi.
 
Hapo red sijakuelewa, huenda ulimaanisha spared.
I still have trust in Zitto.
Nasita sana kuamini kuwa this too smart boy could be tempted with money-thing!
Aidha naijutia siku ambayo kamati itagundua na kuweka wazi kuwa Zitto amepokea rushwa in the name of money or whatever token!
Heri ziku hiyo isingalizaliwa chini ya jua!
Kaka, achana na kitu inaitwa pesa! Watu wakishajua bei yako tu, umekwisha. Tatizo kubwa la masuala haya ya rushwa yanahusisha watu angalau wawili na hivyo kuifanya SIRI ya kudumu ni kazi ngumu sana hasa inapochanganyika na siasa (wenyewe wanaita 'za majitaka'!). Hao hao wanakupa pesa, wanakuzunguka na kukulipua kwa upande mwingine. Ukiangalia mwenendo tu wa Mh Zitto na aina ya tuhuma anazorushiwa (na 'wapinzani' wake) mara kwa mara pengine inakuwa vigumu kiasi kutotilia shaka/mashaka uadilifu, uzalendo na misimamo yake.
 
Ushahidi ukiwepo...........afukuzwe...... Chama kinajiandaa kuchukua dola kikiwa na watu wasafi ili kutenda usafi,nchi iwe safi. Kama ni msafi basi atakuwa among top leaders baada ya uchaguzi.
Naoana kama kweli,akipita kwenye hili basi hata huo urais nadhani itakuwa si mbaya akiufikiria.Tatizo naloliona hapa pia,ni kama alikuwa anahisi hii kashfa inakuja?
 
Mi sioni haja ya kumfukza lakn naomba apungùze papara zake,maana kila siku anaibuka na mambo ya kwake kwake sasa aone umhim wa kuwa pamoja na wanachama wenzake
 
Ndiyo mkuu nilimaanisha "spared", nashukuru kwa masahihisho.Nakubaliana na wewe,lakini pia kumbuka Mh Zitto amesema hizi ni siasa za majitaka na kwamba hakuna ushahidi,pia amedai ni siasa za urais,hii ina maan anaamini kuwa anapigwa vita ndani ya chama na pengine kinahusika kumchafua kwa rushwa?

asafishe hayo maji taka anyanywe
 
Hapo red sijakuelewa, huenda ulimaanisha spared.
I still have trust in Zitto.
Nasita sana kuamini kuwa this too smart boy could be tempted with money-thing!
Aidha naijutia siku ambayo kamati itagundua na kuweka wazi kuwa Zitto amepokea rushwa in the name of money or whatever token!
Heri ziku hiyo isingalizaliwa chini ya jua!
acha tu ,sijui m4c team itawaambia nini watanzania....sijui nape atafoa sadaka kubwa kiasi gani ...sipati picha
 
Naomba na wenye kelele wapewe hizo Kamati, kwani Spika alifanya Upendeleo kuwapa wenye midomo km Mrema Zito Cheyo na angewanyima pasingetulia sasa ni yupi asiyevuta akiona Bulungutu lipo chumbani kwake au cm yake imejazwa M-pesa kibao kawa Mtume au Masiha?
 
Mr JMUSHI I saw you deep in the night dancing naked under the baobab tree, even you want to fire ZITTO,tell us how clean you are.

Mkuu,sidhani kama umenisoma vyema.I don't want to fire Zitto.Sina nafasi yoyote inayoniruhusu kufanya hivyo.
 
Nilipenda hii iwe poll,mods please if you can help on that I will appreciate.Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa,inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,yani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired,usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared,just do the same.

yes they should fire him coz huyu jamaa amezidi sintofahamu anahusishaje tuhuma zake na urais wakati bado kuna miaka 3 mbele kufikia kampeni? au anataka atumie urais kama kichaka chake cha kutokujadiliwa hata pale anaposhutumiwa?..Aende zake huko mbali akagombee kama mgombea binafsi au akajiunge na SAU huko hakuna atakayemjadili sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom