Should CHADEMA Fire Zitto?

Should CHADEMA Fire Zitto?

Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

  • YES

    Votes: 137 65.9%
  • NO

    Votes: 57 27.4%
  • May be

    Votes: 10 4.8%
  • I don't know

    Votes: 4 1.9%

  • Total voters
    208
Status
Not open for further replies.
Il wewe Pasco ni mnafiki sana. Hutabiriki n uliyoandika ni kama mtuvaliyeahikishwa 10,000 na hajawahi kuishika na kisha akafurahi sana kwa kuimba na kucheka akimaliza anajua amenunuliwa kwa bei ya chee. Badilika.
Mkuu Mzee wa Rula, ulijuaje hiyo 10,000 ndio niliyohakikishiwa?!. Ukiongeza na 10,000 ndio standard kiwango cha zile bahasha zetu za khaki, and its just enough to make my day, kwa hiyo ni kweli kabisa, sina bei kabisa!,

Nitajitahidi kuufuata ushauri wako nibadilike, 2013 bei itakuwa 30,000/= nadhani ni mabadiliko tosha!

Merry X-mass & Prosperous New Year!.
Pasco
 
zitto kama jina lake ni mzitti zitto kama zitto tofaut anavyomuangalia Slaa au Mbowe Ztto ni zaidi ya Chadema Zitto ni Kichwa Na Wananchi wengi wanamkubali, zitto kuondolewa Chadema ni Maumivu watayapata Chadema japo Chama kitaendlea,

Siungi Mkono Zitto kutolewa
Harakati Za Zitto Ni Zaidi za Al-Qaida
 
Kuna post za pasco nilikuwa sijazisoma! inasikitisha sana! Pasco unatuhumu watu kwa ushahidi gani? kwanini umeamua kuwa amini hao?

Subirini aibu! Aibu kuu!
 
Ndiyo wakuu! Heshima kwenu! Natambua uwepo wenu hapa JF. Ninaomba kukishauri chama changu cha CDM kumtimua Zitto haraka. Sababu zifuatazo:-

Mosi siku zote amekuwa mtu wa kuanzisha chokochoko na asiyeeleweka. Katika nafasi yake aliyonayo katika chama alipaswa awe mtu wa kukijenga chama siyo kubomoa. Kwa MFANO:- Wakati chama kinapambana ili kulinyakua jimbo la Arumeru mashariki kwa Joshua Nasari Zitto akaona ili kukivuruga chama aufanye huo ni muda wa kukivuruga chama kwa kutangaza kugombea Urais.

Pili huwa hashiriki katika kazi za chama kikamilifu. Siku zote amekuwa akionyesha kushiriki shughuli za chama kwa manati.

Tatu, amekuwa akipingana na maamuzi ya chama Tena waziwazi. Akiwa kama kiongozi alipaswa awe mstari wa mbele kupigania na kuyatetea maamuzi ya pamoja ya chama. Kwa mfano siku ile bungeni wezake wanatoka kwa kuonyesha kutorizika na matokeo yaliyompa ushindi kiwete yeye hakufika kabisa bungeni kuonyesha kutokubaliana ma maamuzi ya chama.

Nne, ana makundi ya sirisiri ndani ya chama yanayolenga kuwabomoa wapinzani wake kitu amabacho kinaweza kuvuruga chama pia

Tano, Mshirikina. Siku zote uchawi ndiyo limekuwa tumaini lake. Si mara ya kwanza kwa huyu ndugu kusema ameaga kwao................ Hizo zote ni tambo za kishirikina. Katika karne hii hayo mambo ya kishirikina yamepitwa na wakati.

NB:- Wamekuja wakina Pro. Safari ndani ya muda mfupi wamekisaidia sana chama lakini zitto ana lengo la kukivuruga chama. Naomba zitto atimuliwa.
 
Ndiyo wakuu! Heshima kwenu! Natambua uwepo wenu hapa JF. Ninaomba kukishauri chama changu cha CDM kumtimua Zitto haraka. Sababu zifuatazo:-

Mosi siku zote amekuwa mtu wa kuanzisha chokochoko na asiyeeleweka. Katika nafasi yake aliyonayo katika chama alipaswa awe mtu wa kukijenga chama siyo kubomoa. Kwa MFANO:- Wakati chama kinapambana ili kulinyakua jimbo la Arumeru mashariki kwa Joshua Nasari Zitto akaona ili kukivuruga chama aufanye huo ni muda wa kukivuruga chama kwa kutangaza kugombea Urais.

Pili huwa hashiriki katika kazi za chama kikamilifu. Siku zote amekuwa akionyesha kushiriki shughuli za chama kwa manati.

Tatu, amekuwa akipingana na maamuzi ya chama Tena waziwazi. Akiwa kama kiongozi alipaswa awe mstari wa mbele kupigania na kuyatetea maamuzi ya pamoja ya chama. Kwa mfano siku ile bungeni wezake wanatoka kwa kuonyesha kutorizika na matokeo yaliyompa ushindi kiwete yeye hakutoka.

Nne, ana makundi ya sirisiri ndani ya chama yanayolenga kuwabomoa wapinzani wake kitu amabacho kinaweza kuvuruga chama pia

Tano, Mshirikina. Siku zote uchawi ndiyo limekuwa tumaini lake. Si mara ya kwanza kwa huyu ndugu kusema ameaga kwao................ Hizo zote ni tambo za kishirikina. Katika karne hii hayo mambo ya kishirikina yamepitwa na wakati.

NB:- Wamekuja wakina Pro. Safari ndani ya muda mfupi wamekisaidia sana chama lakini zitto ana lengo la kukivuruga chama. Naomba zitto atimuliwa.

Wasiwasi wangu ni mmoja tu,,,je ndugu na panya wako wameaga?
 
Peleka malalamiko yako makao makuu ya Chadema mkuu.
 
Ndiyo wakuu! Heshima kwenu! Natambua uwepo wenu hapa JF. Ninaomba kukishauri chama changu cha CDM kumtimua Zitto haraka. Sababu zifuatazo:-

Mosi siku zote amekuwa mtu wa kuanzisha chokochoko na asiyeeleweka. Katika nafasi yake aliyonayo katika chama alipaswa awe mtu wa kukijenga chama siyo kubomoa. Kwa MFANO:- Wakati chama kinapambana ili kulinyakua jimbo la Arumeru mashariki kwa Joshua Nasari Zitto akaona ili kukivuruga chama aufanye huo ni muda wa kukivuruga chama kwa kutangaza kugombea Urais.

Pili huwa hashiriki katika kazi za chama kikamilifu. Siku zote amekuwa akionyesha kushiriki shughuli za chama kwa manati.

Tatu, amekuwa akipingana na maamuzi ya chama Tena waziwazi. Akiwa kama kiongozi alipaswa awe mstari wa mbele kupigania na kuyatetea maamuzi ya pamoja ya chama. Kwa mfano siku ile bungeni wezake wanatoka kwa kuonyesha kutorizika na matokeo yaliyompa ushindi kiwete yeye hakutoka.

Nne, ana makundi ya sirisiri ndani ya chama yanayolenga kuwabomoa wapinzani wake kitu amabacho kinaweza kuvuruga chama pia

Tano, Mshirikina. Siku zote uchawi ndiyo limekuwa tumaini lake. Si mara ya kwanza kwa huyu ndugu kusema ameaga kwao................ Hizo zote ni tambo za kishirikina. Katika karne hii hayo mambo ya kishirikina yamepitwa na wakati.

NB:- Wamekuja wakina Pro. Safari ndani ya muda mfupi wamekisaidia sana chama lakini zitto ana lengo la kukivuruga chama. Naomba zitto atimuliwa.

Hoja yako ya 3 siyo kwamba hakutoka HAKUJA BUNGENI kabisa maana alijua kitakachotokea na hakuwa amekubaliana nacho....
 
Zitto ni mshirikina sana,ni aibu kwa msomi kama yeye kuamini uchawi,inanifanya niamini kuwa zitto ni msomi ila hajaelimika,pili zitto amekuwa akijifanya yeye kuwa anajua zaidi kuliko yoyote ndani ya chama na siku zote amekuwa akienda kinyume na chama,ZITTO ni wakufukuza kabisa ndani ya Chadema mana vijana hatuna naye imani kabisa tena!
 
I wish CHADEMA could hv the China's political party system.this gonna end in a very smooth way.no matter who you are,which position you within the party,how many followers you have or how strong is you records,if you mess up,they mess up with you
 
Kwani hawezi kugombea kupitia ADC?Mbona nasikia kinaanza kuwa na nguvu huko Mwandiga?Ama kama wewe ni cuf ama ccm kwanini usimwombe aje huko kugombea?Ama mbona hugusii kuhusu CHAUMA?Heck The Boss amemshauri afunguwe chama chake!we bado huoni tu?Duh!Usitype just because una vidole na mbele yako kuna kifaa cha kutype na wewe unabonyeza tu.

Mkuu jmushi, punguza ubinafsi, hapo unaonyesha CDM ni watu fulani tu, weka fikra zako huru uweze kupokea mawazo ya wengine! Km hii thread ilikuwa inakuhusu wewe peke yako usinge ileta hapa ili watu wachangie
 
mambo ya urais ni yeye aliyaleta baada ya kuhusishwa na rushwa,fwatilia vyema...

Pole mkuu jmushi, inaonekana hukujipanga, ebu rudi ukae chini na kutafakari, sio kila unalotumwa lazima ulifikishe. Waambie waliokutuma wajitokeze kujibu hoja za watu ambazo zipo hewani. Usione aibu kukiri ulikosea kutumwa kuleta uzi huu kwa great thinkers. Viva ZZK, viva CDM, viva TANZANIA
 
Pole mkuu jmushi, inaonekana hukujipanga, ebu rudi ukae chini na kutafakari, sio kila unalotumwa lazima ulifikishe. Waambie waliokutuma wajitokeze kujibu hoja za watu ambazo zipo hewani. Usione aibu kukiri ulikosea kutumwa kuleta uzi huu kwa great thinkers. Viva ZZK, viva CDM, viva TANZANIA
murugalama,sijatumwa na mtu kwa lolote lile.Unaweza kuona uwanja upo wazi kutoa maoni yako na kupiga kura.Hilo litwaonyesha na kuwapa mwangaza kuwa ni hatua gani wachukuwe.Thread inauliza swali tu na kura ya maoni.Matokeo ya hapa si uamuzi wa chadema,bali ni matokeo yatakayowasaidia kujuwa wanachama na wapenzi/washabiki wao wanafikiri mambo gani kuhusu viongozi waoPengine Zitto akiona maoni haya badala ya kuona ni chuki,ajuwe kuwa hizi ni hisia za wananchi wengi.Pengine limsaidie kubadili mwelekeo.
murugalama said:
Mkuu jmushi, punguza ubinafsi, hapo unaonyesha CDM ni watu fulani tu, weka fikra zako huru uweze kupokea mawazo ya wengine! Km hii thread ilikuwa inakuhusu wewe peke yako usinge ileta hapa ili watu wachangie
Hii thread hainihusu mimi.Soma vyema mkuu.Mawazo yako yanakaribishwa tu,ila yasiwe yenye kutoka nje ya mada.
 
Last edited by a moderator:
Let's say Politic and the modern Politician, must be correct for all doing and to stand for the rights, rules and the law as follows. The founder of the chain gang PM7 and his members automatically are convicted. For invade the Party and public insult to the fellow leaders, with a using dirty challenge way, i mean fabrication of lies to oppose the leaders. And this matter is a very grave offend to CHADEMA, and to the all Tanzanians who likes the changes. The evidence of you are betraying is openly and everyone have seen through FB/JF including investigators, and I hope Central Committee will put a severe punishment to the all which will be found guilty. For my opinion, decided of conclusion must to be harder, is to expelled and disqualify the membership from the party. The on going was intentionally, because PM7 is existed and was foamed special to undermined CHADEMA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom