Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Serikali kupitia Ofisi ya Rais -TAMISEMI jana tar 25/9/2023 imetoa ufafanuzi wa taarifa zilizokuwa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuhusisha mwanafunzi Sifika Daniel Ruben aliyesoma Shule ya Sekondari ya Mkombozi Wilayani Same, Kilimanjaro kupangwa Shule ya Sekondary Namwai kwa masomo ya kidato cha tano na nafasi hiyo kupewa mtu mwingine na hivyo kumukosesha Sifika haki ya kuendelea na masomo.
Ambapo imebainika kuwa binti aliyekuwa analalamika (Sifaeli Tawel Elirehema) alidanganya taarifa zake na kuchukua jina la mwanafunzi halisi Sifika anaendelea na masomo yake hivi sasa katika Shule ya Sekondari Namwai.
Pia soma
- Shule ya Sekondari Mkombozi: Sifika Danieli Rubeni alidanganya taarifa ya kuuzwa kwa nafasi yake ya kidato cha tano
Ambapo imebainika kuwa binti aliyekuwa analalamika (Sifaeli Tawel Elirehema) alidanganya taarifa zake na kuchukua jina la mwanafunzi halisi Sifika anaendelea na masomo yake hivi sasa katika Shule ya Sekondari Namwai.
Pia soma
- Shule ya Sekondari Mkombozi: Sifika Danieli Rubeni alidanganya taarifa ya kuuzwa kwa nafasi yake ya kidato cha tano