joel philipo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 242
- 180
HakikaWaliokua wanajitolea na wasiojitolea utawabaini vipi? Maana kigezo cha barua zakujitolea wote wanakua nazo tofauti ni mmoja anatumia Tsh 20,000- 50,000 kuipata kwa mkuu wa shule na mwingine anapewa bure.