Ndugu zangu ningeomba tutumie huu Uzi kutoa maoni Kwa kuwaomba TAMISEMI kuongeza Muda wa watanzania kutuma maombi ya Kazi za ualim na Afya.
Kwanza muda uliotolewa no siku ambazo sio Chini ya 20 na yawezekana wengi wasiombe na kukosa Fursa ya Kuajiriwa(Kwa wale watoto wa maskini) ambao hawana plan yoyote ile.
Tunaomba Mama yetu ANGELA KAIRUKI uongeze Muda ili wafuassi wako wapate kupona. Sababu kubwa za Kuomba muda uongezwe no hizi hapa;
1. Ucheleweshaji wa Transcript na Leseni za MCT
Kwa ambao mmenda NACTE pale Kuna watu waliomba Transcripts za Kada ya Afya Kwa muda mrefu lakini Huwa zinacheleweshwa. Mtu analipa ili atumie Transcripts mkoani anaisubiri haimfikii anaamua Kufunga safar mpaka NACTE ili apatiwe anatumia siku Mbili Toka Mkoani mpaka Dar akifika pale tayari muda unakuwa umeisha kabisa au anapewa majibu ya subiri.
2. Ulazima wa kuwa na Leseni za MCT na Bodi nyingine kama Za Famasia na Uuguzi Kwa Nursing. Kama mnavyojua anayemaliza chuo Kwa Afya ili afanye kazi lazima awe na leseni. Hii wengi hawaipingi ila tatizo ni pale ambapo Leseni hizi zinachelewa. Mfano mtu kamaliza chuo 2020 ama 2021. Akishamaliza chuo anapaswa awe na leseni leseni kuipata sio Chini ya 400K yaani ada zake na Enrollment Fees. Kwa watanzania walio wengi kupata Laki nne ya kulipa ili apewe leseni kwanza ni Kizungumkuti. Pili Kwa wengine akishalipia Leseni haifiki Kwa wakati. Mfano hapo MCT Kuna mtu alilipia leseni Wiki Iliyopita Jumanne akaambiwa ndani ya Siku Tano itapatikana akaamua Kurudi Mkoani amekwishafika anaisubiri anaambiwa bado. Ina maana Mpaka Deadline inafika atakua hajaipata.
Kama mnavyojua wengi hufuatilia vyeti vyao pale ambapo kazii hutangazwa lakini Kuna yrasimu MKUBWA wa kupata vyeti haswa vya kitaaluma na ukitoa wiki mbili owe deadline ya kutuma maombi watu wengi wanaumia
Zipo sababu nyingi sana ambazo zinachelewesha watu kutokupata Documents zote za kuombea kazi.
Tunawoamba TAMISEMI kuongeza Muda hata wa wiki mbili au zaidi ili watu wapate Fursa ya Kuomba Kazi na kuijenga Nchi.
Kwanza muda uliotolewa no siku ambazo sio Chini ya 20 na yawezekana wengi wasiombe na kukosa Fursa ya Kuajiriwa(Kwa wale watoto wa maskini) ambao hawana plan yoyote ile.
Tunaomba Mama yetu ANGELA KAIRUKI uongeze Muda ili wafuassi wako wapate kupona. Sababu kubwa za Kuomba muda uongezwe no hizi hapa;
1. Ucheleweshaji wa Transcript na Leseni za MCT
Kwa ambao mmenda NACTE pale Kuna watu waliomba Transcripts za Kada ya Afya Kwa muda mrefu lakini Huwa zinacheleweshwa. Mtu analipa ili atumie Transcripts mkoani anaisubiri haimfikii anaamua Kufunga safar mpaka NACTE ili apatiwe anatumia siku Mbili Toka Mkoani mpaka Dar akifika pale tayari muda unakuwa umeisha kabisa au anapewa majibu ya subiri.
2. Ulazima wa kuwa na Leseni za MCT na Bodi nyingine kama Za Famasia na Uuguzi Kwa Nursing. Kama mnavyojua anayemaliza chuo Kwa Afya ili afanye kazi lazima awe na leseni. Hii wengi hawaipingi ila tatizo ni pale ambapo Leseni hizi zinachelewa. Mfano mtu kamaliza chuo 2020 ama 2021. Akishamaliza chuo anapaswa awe na leseni leseni kuipata sio Chini ya 400K yaani ada zake na Enrollment Fees. Kwa watanzania walio wengi kupata Laki nne ya kulipa ili apewe leseni kwanza ni Kizungumkuti. Pili Kwa wengine akishalipia Leseni haifiki Kwa wakati. Mfano hapo MCT Kuna mtu alilipia leseni Wiki Iliyopita Jumanne akaambiwa ndani ya Siku Tano itapatikana akaamua Kurudi Mkoani amekwishafika anaisubiri anaambiwa bado. Ina maana Mpaka Deadline inafika atakua hajaipata.
Kama mnavyojua wengi hufuatilia vyeti vyao pale ambapo kazii hutangazwa lakini Kuna yrasimu MKUBWA wa kupata vyeti haswa vya kitaaluma na ukitoa wiki mbili owe deadline ya kutuma maombi watu wengi wanaumia
Zipo sababu nyingi sana ambazo zinachelewesha watu kutokupata Documents zote za kuombea kazi.
Tunawoamba TAMISEMI kuongeza Muda hata wa wiki mbili au zaidi ili watu wapate Fursa ya Kuomba Kazi na kuijenga Nchi.