Ajira za ualimu Tamisemi 2023, kwanini wasitoe sababu maombi kutofanikiwa

Nyanda Banka

Member
Mar 14, 2023
31
31
Hivi karibuni Tamisemi walitoa taarifa kuhusiana na ajira za ualimu na afya ya namna ya kuangalia maombi kama yalikubaliwa na waliweka ya kupiga *152*00# ili kutambua hali ilivyokuwa, kwa upande wangu mimi kama miongoni mwa niliyeomba (kuapply) ajira hizo kwenye kada ya ualimu sikubahatika kupata hizo ajira lakini nilivyoangalia hali ya maombi wanaletea meseji kuwa maombi hayakufanikiwa sasa najiuliza kivipi hayakufanikiwa wakati nilifikisha asilimia 100 kipindi naapply.

Hoja yangu ya msingi ni kuwa kwanini wasitoe na sababu ya kwanini maombi hayakufanikiwa.

Screenshot_2023-06-12-14-34-57-71.png
 
Hivi karibuni Tamisemi walitoa taarifa kuhusiana na ajira za ualimu na afya ya namna ya kuangalia maombi kama yalikubaliwa na waliweka ya kupiga *152*00# ili kutambua hali ilivyokuwa...
Point ya msingi ajira umekosa,

Swala la kupata ajira ni bahati nasibu tu, kutokana na waombaji kuwa wengi kuliko wanaotakiwa

Sasa hawawezi kukupa sababu inayotoa udhaifu kwao
 
Point ya msingi ajira umekosa,

Swala la kupata ajira ni bahati nasibu tu, kutokana na waombaji kuwa wengi kuliko wanaotakiwa

Sasa hawawezi kukupa sababu inayotoa udhaifu kwao
kwa aina ya ile mexeji yao nilikuwa na hofu labda kipindi nafanya maombi huenda hayakufika uko kabisa na sikuwepo katika kinyang'anyiro
 
Nyie mnaosoma ili mje muajiriwe wakati mwingine mnaathirika kisaikolojia kwa kutoajiriwa mapema tangu muhitimu kozi zenu. Ingekuwa bora kama hizo kazi mlizosomea muajiriwe ili muwe matajiri, kinyume chake mnakimbilia wenyewe kwa hiari yenu kwenda kasaini umasikini wa kujitakia nyie na vizazi vyenu. Mnasoma halafu mnakosa akili za kutumia maarifa mliyonayo bila kuajiriwa. Mtashangaa wenzenu waanzisha miradi yao ya kuingiza kipato kikubwa kwa mwezi huku nyie mkisubiri mshahara na pensheni uzeeni. Wahitimu changamkeni dunia imebadilika kila kitu ni fursa za kujipatia fedha ukitumia akili vizuri
 
Nyie mnaosoma ili mje muajiriwe wakati mwingine mnaathirika kisaikolojia kwa kutoajiriwa mapema tangu muhitimu kozi zenu. Ingekuwa bora kama hizo kazi mlizosomea muajiriwe ili muwe matajiri, kinyume chake mnakimbilia wenyewe kwa hiari yenu kwenda kasaini umasikini wa kujitakia nyie na vizazi vyenu. Mnasoma halafu mnakosa akili za kutumia maarifa mliyonayo bila kuajiriwa. Mtashangaa wenzenu waanzisha miradi yao ya kuingiza kipato kikubwa kwa mwezi huku nyie mkisubiri mshahara na pensheni uzeeni. Wahitimu changamkeni dunia imebadilika kila kitu ni fursa za kujipatia fedha ukitumia akili vizuri
kinachotuuma ni kuwa tunatumoa muda mwingi shule alafu tunakuja kukutana na kauli kama hizi za kujiajiri xaa ngapi xaxa
 
dah,ina uma lakini!, ikizingatiwa nyumban kwenu wameuza ,mashamba ,ngombe ili uje uwakomboe kiuchumi matokeo yake upo upo tu hom, zinduka mkuu changamkia fursa jiajiri umri unasonga,maisha ya sasa sio ya kutegemea ajira kilahisi lazima ule msoto kwanz.
Hhhahaha yani wauze ng'ombe na mashamba Kwa ajira ya ualimu, hao ni maboya mwalimu anakukomboaje kiuchumi
 
Hizi nafasi ifike muda hakuna wa kuomba mpaka serikali iweke vivutio ikiwemo mshahara mkubwa na posho juu, kwani wahitimu watakuwa wanasoma ili wakajiajiri wenyewe. Post zote za serikali na binafsi wakose wa kuwaajiri kwa maana wasomi watakuwa na akili ya kufanya mambo yao ya kujipatia fedha mpaka waajiri wajiongeze kwa kutangaza mshahara mnono kwa atakayeajiriwa na kuacha shughuli zake za kiuchumi. Hiyo ndiyo elimu tunayoitaka
 
C
Nyie mnaosoma ili mje muajiriwe wakati mwingine mnaathirika kisaikolojia kwa kutoajiriwa mapema tangu muhitimu kozi zenu. Ingekuwa bora kama hizo kazi mlizosomea muajiriwe ili muwe matajiri, kinyume chake mnakimbilia wenyewe kwa hiari yenu kwenda kasaini umasikini wa kujitakia nyie na vizazi vyenu. Mnasoma halafu mnakosa akili za kutumia maarifa mliyonayo bila kuajiriwa. Mtashangaa wenzenu waanzisha miradi yao ya kuingiza kipato kikubwa kwa mwezi huku nyie mkisubiri mshahara na pensheni uzeeni. Wahitimu changamkeni dunia imebadilika kila kitu ni fursa za kujipatia fedha ukitumia akili vizuri
Comment za walioajiriwa miaka ilee. Utagundua tu
 
Hizi nafasi ifike muda hakuna wa kuomba mpaka serikali iweke vivutio ikiwemo mshahara mkubwa na posho juu, kwani wahitimu watakuwa wanasoma ili wakajiajiri wenyewe. Post zote za serikali na binafsi wakose wa kuwaajiri kwa maana wasomi watakuwa na akili ya kufanya mambo yao ya kujipatia fedha mpaka waajiri wajiongeze kwa kutangaza mshahara mnono kwa atakayeajiriwa na kuacha shughuli zake za kiuchumi. Hiyo ndiyo elimu tunayoitaka
Wakati wewe unasubiri mafao ya uspika huo ulionao siyo. Acha kudanganya wenzako
 
Back
Top Bottom