Mwanya mwingine wa rushwa huu. Hii nvhi ina viongozi wa ajabu sana sijui wanafikiria kwa kutumia nini? Isitoshe hapo Degree au PhD ya mtu mzima ilikaa ikaona vyema kuja na kigezo cha kujitolea kwenye shule za serikali. Hivi kuna mtu kweli wa kujitolea bila kulipwa hata 50,000/-? Hii inawafungulia wakuu wa shule mwanya wa tushwa tu kwa watu wanaowapa hizo barua1.Nawaona vijana wakihangaika kwa wakuu wa shule kuomba barua angalau ziwaoneshe walijitolea ktk shule hizo.Japo si kweli.
2.Kutolewa kwa kibari cha issue Kama hizi ni fursa kwa wanaotangaza amini..hata wao walikisubiri kibali hiki kwa hamu connection na michongo itawale.
MUNGU NA AKATENDE NDUGU ZANGU MPATE AJIRA NCHI NI CHANGA SANA HII WQSOMI MNAHITAJIKA Hatukufikia hatua ya degree holder mfagie barabara.
tatzo serikali haijali mkuu, kwan kuna anayejua zile 5000 zimepotelea wapi?Mwanya mwingine wa rushwa huu. Hii nvhi ina viongozi wa ajabu sana sijui wanafikiria kwa kutumia nini? Isitoshe hapo Degree au PhD ya mtu mzima ilikaa ikaona vyema kuja na kigezo cha kujitolea kwenye shule za serikali. Hivi kuna mtu kweli wa kujitolea bila kulipwa hata 50,000/-? Hii inawafungulia wakuu wa shule mwanya wa tushwa tu kwa watu wanaowapa hizo barua
Hakuna anayejua isipokuwa zimefunikwa tu na hatujui imekuwajetatzo serikali haijali mkuu, kwan kuna anayejua zile 5000 zimepotelea wapi?
Jmn et kwa ambae amefanikiwa kuongea na watu wa tamisemi kuhusu kuattach cv tunaattach wap...nisaidien
Sawa,asante.....uliwapigia eeUna scan kwenye document moja pamoja na barua ya maomb then una upload sehemu ile ya barua ya maombi
Sawa,asante.....uliwapigia ee
Bonyeza OK, halafu bonyeza kwenye log in tena, itafungukaMimi kila nikijaribu kuingia naambiwa unathorised user jaman naombeni msaada wandugu kijana wangu atakosa nafasi
Mkuu hiyo S iandike kwa herufi kubwa.Wakuu mbona apa mi inanigomeaView attachment 1788186
Iweke kwenye PDF moja pamoja na barua, halafu iattach kwenye sehemu ya barua.Jmn et kwa ambae amefanikiwa kuongea na watu wa tamisemi kuhusu kuattach cv tunaattach wap...nisaidien
Saidia kujibu hili swali hapa chini mkuuYeah na hata kwenye utube channel yao wamesema hilo
Mwenye kufahamu pia na ishu ya vyeti, tunascan original inatosha au kuna ulazima wa kuCERTIFY kwa mwanasheria ndo tuscan?
Kwa aliyeweza kupiga simu wakapokea na akauliza swali hili jaman msaada
Saidia kujibu hili swali hapa chini mkuu
Sawa mkuuVyeti n lazima viwe certified mkuu
Kama huwezi kuziunganisha nicheki 0753070139Iweke kwenye PDF moja pamoja na barua, halafu iattach kwenye sehemu ya barua.
Kwenye hiyo PDF, tanguliza barua(ukurasa wa 1), ukurasa wa 2 na kuendelea weka CV
Maelezo yao ya kuzingatia yana ukakasi, hayajaweka bayana ulazima wa kucertify, ila kama tunavyojua katika maombi mengi ya kazi huwa wanataka vyeti viwe certified.Kasome sifa za kutuma maombi