Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,499
- 17,572
Hiyo ndiyo pointHasara iko kubwa kuliko faida, wazungu wakisikia wachina wamekuja wao wana cancel trip. Hasara tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndiyo pointHasara iko kubwa kuliko faida, wazungu wakisikia wachina wamekuja wao wana cancel trip. Hasara tupu
ninajaribu kubahatisha tu kwa ulichomaanisha maana duuh hiyo lugha uliyotumia hapo ni chiboko yake . nahisi ulitaka kumaanisha KIA wako vizuri kupima afya za wageni. ndg yangu,corona mpk ulaya imefika na ninaamini imepitia airport. siamini kwamba sisi ni hodari kupima afyya za watu kushinda uswisAcha uongo wewe...Port Health kila Siku pale KIA kwenye arrival side sana scan watu wanaoingia kuhusu Afya...
Same to JNIA .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana Hizo nchi za ulaya zilizopiga marufuku, wachina hawana vifaa hivyo?!! USA mwenyewe, (baba lao) anaogopa sembufe nyie WANA TUKUNYEMA!! SHAME ON U!! Kipindu pindu tu huwa kikianza ni tabu sembuse huo??Acha uongo wewe...Port Health kila Siku pale KIA kwenye arrival side sana scan watu wanaoingia kuhusu Afya...
Same to JNIA .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ameshatupa akili, maarifa na maamuzi ya kufanya ili kupambana na virusi vya Corona, tatizo letu ni shingo ngumu, hatutaki kuchukua hatua madhubuti, tunajifariji kwa woga, ujinga na uvuvi tuliouficha katika kichaka cha dua na maombi huku tukidhani Mungu hajui. Sasa ngoja kiwake ili akili itukae kisawa sawa.
Pole ndugu..ninajaribu kubahatisha tu kwa ulichomaanisha maana duuh hiyo lugha uliyotumia hapo ni chiboko yake . nahisi ulitaka kumaanisha KIA wako vizuri kupima afya za wageni. ndg yangu,corona mpk ulaya imefika na ninaamini imepitia airport. siamini kwamba sisi ni hodari kupima afyya za watu kushinda uswis
Njoo JNIA uione limbukeni wewehakuna scanner inayopima CORONAVIRUS wewe idiot!
Inasikitisha sanaKipindi ninatetea wale wanafunzi wa Kitanzania warudishwe nyumbani nilipokea matusi na kejeli!! Sasa ndo mpembue mliokuwa mnapinga. Wachina wanapata usafiri wa kuja huku ikiwa wao ndio wahanga wakubwa wa COVID-19 na mnawakataa watanzania wenzenu!
Ilipaswa uwekwe utaratibu wa kuwapokea hao wanafunzi lkn badala yake wanaingia wachina kwa wingi!! Huku ndo kuruka majivu na kukanyaga moto.. time will tell
Sisi ndio hatujielewi na serikali yetu..Yani wanazuia sisi tusiende lakini wanawaruhusu wachina kuingia, Tena Sasa maambukizi nje ya China Ni makubwa zaidi