Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,603
- 8,692
Sio maoni umeambiwa kuraKura ya maoni kuhusu Muungano haitakiwi kuitishwa Zanzibar tu peke yake, Bali inatakiwa kuitishwa ktk pande zote za Muungano yaani Zanzibar na Tanganyika kwa sababu hata sisi wa-Tanganyika pia tuna maoni yetu kuhusiana na huu Muungano.