Tricejosephat
New Member
- Aug 6, 2022
- 3
- 0
Peaky blinders
LuciferPeaky blinders
Night Agent ni kazi nzuri na wana idea murua ila kuna matukio hawajaumiza sana kichwa. Mf Peter na Rose yaani wanajua kila kitu, wanaomba msaada kdg sana.Pakuaa mkuu. Maoni yangu hii series kuna matukio wameyarahisisha sana kama tukio la epsode ya 10 rais anatekamtwa kirahisi hivyo na mtu kisha aanaanza kuwashurutisha walinzi kwa ujumla sioni kama ilipaswa kuwa rais hivyo. Kingne wameshaambiwa kuna tishio la bom mtu anaenda kukagua kwa macho maana sijaona mtaalam wa mabom hapo tena mwenye vifaa. Kingne tishio la bom liko kwenye helcopiter ambayo madam presdent yuko karibu na helkopta ile angalau hao secret service wangemuondoa kwa kuwek tahadhali zaid, na mwisho kabisa kiulinzi haijalishi kuna tishio kiasi gani anayetakiwa kumshika rais ni special unity pekee lkn pale unaona kashikwa na kijana ambaye anafanya kazi ikulu lkn siyo mlinzi maalum wa rais na anawatia mkwara wakimsogelea atamdhuru kiongoz je kwenye kikos hiko hakuna sniper au mlengaji maalum kwenye dharula kama hiyo?? Yote kwa yote kazi iko vizuri mkuu
Inahusiana na nini?Jana nimemaliza kuangalia Kaleidoscope. Bonge la series.
Kikubwa Peter alikula kimasihara hajatuangushaNight Agent ni kazi nzuri na wana idea murua ila kuna matukio hawajaumiza sana kichwa. Mf Peter na Rose yaani wanajua kila kitu, wanaomba msaada kdg sana.
Kuna ile last battle ya mwisho, Peter alitoka nowhere eti tayari kashamteka rais!
Halafu upinzani kutoka kwa wale Special forces/secret services yaani Peter kawapiga wote tena sio kwa mtanange mtata!
Camp David kwenyewe ulinzi haukua kiivo...yaan hakuna hata Thermo detectors!
Matukio mengi easy to predict!
Wafanyie kazi mapungufu, kama kuna SO2 itakua poa zaidi!


Series kali sana nilipenda namna wameyapangilia matukioJana nimemaliza kuangalia Kaleidoscope. Bonge la series.
Inahusiana na niniSeries kali sana nilipenda namna wameyapangilia matukio
Heist.Inahusiana na nini
Hiyo niliona ya kitoto hasa kuanzia season 2 kuendeleaHeist.
Wewe unaongelea nini wakati hiyo ina season 1 tuhHiyo niliona ya kitoto hasa kuanzia season 2 kuendelea
Kaleidoscope ni ya kitoto? Una uhakika Mkuu au unachanganya na kitu kingine?Hiyo niliona ya kitoto hasa kuanzia season 2 kuendelea
Ndio na mimi nashangaa.Wewe unaongelea nini wakati hiyo ina season 1 tuh
Nilisema hii kuhus hii seriesPakuaa mkuu. Maoni yangu hii series kuna matukio wameyarahisisha sana kama tukio la epsode ya 10 rais anatekamtwa kirahisi hivyo na mtu kisha aanaanza kuwashurutisha walinzi kwa ujumla sioni kama ilipaswa kuwa rais hivyo. Kingne wameshaambiwa kuna tishio la bom mtu anaenda kukagua kwa macho maana sijaona mtaalam wa mabom hapo tena mwenye vifaa. Kingne tishio la bom liko kwenye helcopiter ambayo madam presdent yuko karibu na helkopta ile angalau hao secret service wangemuondoa kwa kuwek tahadhali zaid, na mwisho kabisa kiulinzi haijalishi kuna tishio kiasi gani anayetakiwa kumshika rais ni special unity pekee lkn pale unaona kashikwa na kijana ambaye anafanya kazi ikulu lkn siyo mlinzi maalum wa rais na anawatia mkwara wakimsogelea atamdhuru kiongoz je kwenye kikos hiko hakuna sniper au mlengaji maalum kwenye dharula kama hiyo?? Yote kwa yote kazi iko vizuri mkuu
Nilidhani ni money heistWewe unaongelea nini wakati hiyo ina season 1 tuh
Sorry nilidhani ni money heistKaleidoscope ni ya kitoto? Una uhakika Mkuu au unachanganya na kitu kingine?
NdioJamani blacklist season 10 tayari jamanii ishatoka?? Naomba mnijuze wakuu