Series (Special thread)

Series (Special thread)

Nimekukumbuka mi pia Carleen, nimekumbuka zamani uzi ulikuwa upo active sana kina Vincenzo Jr Mr Q Dr. Mariposa Angel Nylon Depal Seran Those were the days
Kwa upande wangu baridi inaishia sasa, hivyo hata unaweza kuanza kukaa kuangalia TV..
Em nikaribishe na movie moja hapo leo jua limewaka..

Kuna movie nimeangalia juzi kati inaitwa The Last house.. ni movie mpya hapo mjini Netflix
ni 5/10 hivi inafaa kwa kubuy time.
Hiyo familia siku 1 tu from no where milango & madirisha vikajifunga, wakatumia jitihada zote vikashindikana kufungua wala kuvunja. Baadae wakacheck na majirani hali ni moja.. wakaanza kuwasiliana kwa kuandikiana kwenye ubao. Maana hata network ilikata… siku zkaenda vyakula vikaanza kuishia 🥹
Baadae wakajua nje kuna hatari/ kuna jitu si jitu, dudu si dudu na lishaua majirani… mwisho wakabuni mbinu ya kulitega…. Wakaja kufanikiw kutoka nje…
 
Huyu mjomba bhana
 

Attachments

  • HPi--FVXsAAdWmL.jpg
    HPi--FVXsAAdWmL.jpg
    327 KB · Views: 1
Wewe angalia bongo movies tu au Waturuki,
Yaani nishindwe kuangalia Game of Thrones kisa kuna wanaume wanakiss au nishindwe kuangalia LIONESS kisa kuna wanawake wanakiss,
Nikwambie tu hiyo sio agenda bali ndio maisha yalivyo, wewe baki na kina Othman Bey
Sawa unaweza kua sahihi kwa upande wako ila nimeangalia movies nyingi sana kuliko unavyodhani mkuu tena za nje na Africa hapa hapa kali tu sio bongo movies wala sijui othaman bey, nikikutumia picha ya mzigo nilio nao hapa kwenye external na history na whitelists za accounts zangu za Netflix na Prime Video unaweza shangaa huenda hata nyingine hujawahi kuzi tazama...
 
Hivi mnazungumzia muvi yake au series na je imeshatoka? Kama ni series ipo episode ya ngapi
Reacher season 4 tajiri mwenzangu, zimeshatoka episode 3 tayari, kitu ni cha moto balaa..!

Jumlisha Silo, Lionesss bila kusahau Lucky huwa nikikutana na new episode hata usiku wa manane najikuta beki hazikabi walaqhi’..!😁
 
Reacher season 4 tajiri mwenzangu, zimeshatoka episode 3 tayari, kitu ni cha moto balaa..!

Jumlisha Silo, Lionesss bila kusahau Lucky huwa nikikutana na new episode hata usiku wa manane najikuta beki hazikabi walaqhi’..!😁
Lucky wameongeza episodes au ni zile zile 5 voz nilisitisha kwanza nikisubiri zifike 6 ili nianze ya 4,5, na 6 non stop
 
Interview with a Vampire ina story nzuri sana ila main characters ni gays, hawaoneshi wakifanya chochote zaidi ni masimulizi ya maisha, so kama ni homophobic achana nayo,
Ntangalia nicheki ep ya kwanza niicheki kama ina story nzuri naruka nayo
Wait, unajua niliangalia Spartacus:House of Ushur ikanishinda nikaishia ep 2, humu nikaona inasifiwa ikabidi niirudie Spartacus baadae nikaianza tena House of Ushur bado sijaipenda ila naangalia tu iishe
Mi sijaicheki sina mzuka nayo kabisa na nilivyojua ime canceliwa nikaachana nayo
 
Kwa upande wangu baridi inaishia sasa, hivyo hata unaweza kuanza kukaa kuangalia TV..
Em nikaribishe na movie moja hapo leo jua limewaka..

Kuna movie nimeangalia juzi kati inaitwa The Last house.. ni movie mpya hapo mjini Netflix
ni 5/10 hivi inafaa kwa kubuy time.
Hiyo familia siku 1 tu from no where milango & madirisha vikajifunga, wakatumia jitihada zote vikashindikana kufungua wala kuvunja. Baadae wakacheck na majirani hali ni moja.. wakaanza kuwasiliana kwa kuandikiana kwenye ubao. Maana hata network ilikata… siku zkaenda vyakula vikaanza kuishia 🥹
Baadae wakajua nje kuna hatari/ kuna jitu si jitu, dudu si dudu na lishaua majirani… mwisho wakabuni mbinu ya kulitega…. Wakaja kufanikiw kutoka nje…
Hyo last house niliicheki trailer yake inaonekana ni nzuri ushaicheki dissclosure day nayo ni nzuri na kuna horror moja sijaicheki ila nasikia imeipita Obssesion kwenye rating inaitwa "Teenage Sex and Death at Camp Miasma" Dr. Mariposa
 
Hyo last house niliicheki trailer yake inaonekana ni nzuri ushaicheki dissclosure day nayo ni nzuri na kuna horror moja sijaicheki ila nasikia imeipita Obssesion kwenye rating inaitwa "Teenage Sex and Death at Camp Miasma" Dr. Mariposa
Nazitafuta zote mbili ASAP hata mimi hiyo last house nilicheki trailer, nashukuru Depal kaielezea kiundani ngoja niicheki
 
Whaaat wameicancell!??? No wonder ile movie ni trash and low budget plus Ushur hakuwahi kua favourite wa yoyote why wampe a sequel, smh.
Yan we kila nikiliona jina lako nakumbuka movie zileee za kina below her mouth..
Uliandikaga majina kama matano.. mojawapo ilifanya nikashinda natetemeka siku nzima 😅😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom