Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 769
Daah! Nimetoka kumailizia kuicheck Fauda s04 hapa aisee imenipooza machungu ya kichapo tulichokula Man utd Leo na Newcastle
🤣🤣🤣🤣🤣Daah! Nimetoka kumailizia kuicheck Fauda s04 hapa aisee imenipooza machungu ya kichapo tulichokula Man utd Leo na Newcastle
Mimi nikajua season 2 ipo, nimeimlizia leo, dahNimetoka kuingalia hapa na ndio nilikuwa nakuja kuweka maoni wadau waitafute, mzigo umesimama kwa miaka ya hivi karibuni sijaona mzigo kama ule season 2 inatoka 2024

Kaa kwa kutulia kwanini umeimaliza harakaharaka 😁😁😁 nimebakiza episodes mbili ili nisiimalize harakaMimi nikajua season 2 ipo, nimeimlizia leo, dah
![]()
Inahusu nini hii series mkuuKaa kwa kutulia kwanini umeimaliza harakaharakanimebakiza episodes mbili ili nisiimalize haraka
Ni issue za Israeli vs Palestine ,mosad wapo kazini humu fauda means Kama kujitoa mhanga ,bonge la series na yenyeweInahusu nini hii series mkuu
Ya ujasusi na vita amaNi issue za Israeli vs Palestine ,mosad wapo kazini humu fauda means Kama kujitoa mhanga ,bonge la series na yenyewe
Umeshacheki trailer?Inahusu nini hii series mkuu
Hapana mkuu sijacheki trailer yake gpja nifanye namna niicheki hapaUmeshacheki trailer?
Wakosoaji hawakosekani, kikubwa wamejitajidi ni ladha iliyokosekana kwa muda mrefu..Kaka Kama uliangalia vizuri kulikuwepo n sniper but before hajafanya yake ukatokea ule mlipuko ,all in all hawawezi kuwa perfect kwa kila sehemu but Ni series nzuri kwangu toka mwaka huu uanze
Akina Doron walifyatuliwa kule mwisho nikajisikia amani sana kama kweli vileNi issue za Israeli vs Palestine ,mosad wapo kazini humu fauda means Kama kujitoa mhanga ,bonge la series na yenyewe


Ipi kati ya hizo ina ladha kama za 24?The Capture
Hii naona iko underrated ila ni bonge la series ina season 2, ukiianza huwezi kuishia njiani.
Nyingine ni Collateral na Suspicious zote za Uk.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
The capture inaelekeana japo wao wamedeal na technology zaidi kwenye kudeal na ugaidi!Ipi kati ya hizo ina ladha kama za 24?
Naiomba mi pia inboxKuna thread ya list za series za kila weekend, hii mtu akiitaka aje inbox apate link, ngetoa apa ila sio salama kwa kulinda u anonymity
Bajeti shilling ngap mimi nikudownlodie season zote 8Nahitaji mwenye 24 ya Jack bour...very good quality na subtle.
Season zote. Awe dar.
Aje inbox....nimetenga bajeti nzuri.