Kaka Kapo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2012
- 547
- 347
Ninayo Breaking Bad full series 2k @ a seasonMbna mimi siipat naona movie ya jason statham tu
Ninayo Breaking Bad full series 2k @ a seasonMbna mimi siipat naona movie ya jason statham tu
Naombeni site ambayo naweza download breaking bad kwa mb za chini.
Chini ya mb 120 kwa episode.
Hivi ni nzuri kweli hiyo season??Naombeni site ambayo naweza download breaking bad kwa mb za chini.
Chini ya mb 120 kwa episode.
Breaking Bad ni moja ya series bora kabisa kuwahi kutokea..Hivi ni nzuri kweli hiyo season??
DaaaaaaaaaaaaaaaaaahNinayo Breaking Bad full series 2k @ a season
HutajutiaHivi ni nzuri kweli hiyo season??
Ulipata?
Yeah! Mkuu anajua kudeal nao na akishakujua hayo maamuzi yake utasema huyu ni chizi sio mzima![]()
Kweli kabisa na tabia hiyo anayowafanyia wenzake alafu wao hawawezi kuwa Loyal kwake ndio ilimuuma sana kuona mkewe Ghost na mwanae wanamsnitch.....Alitokea kwenye Power II na kukinukisha hatari maana walimpakazia yeye ndio kamuua Ghost kumbe sio kweliHalafu jamaa ni royal sana yeye hajali kuwa wewe ni mtu wake wa karibu au mbali ukiwa snitch ana deal na wewe! Nakumbuka mchumba wake alikuwa anataka kumkamatisha Ghost halafu akamwambia yeye kuwa tumchomeshe Ghost daaa jamaa ilibidi amuondoe mchumba ake baada ya kuona ni snitch!
Kwa hyo Ghost atakufa?Kweli kabisa na tabia hiyo anayowafanyia wenzake alafu wao hawawezi kuwa Loyal kwake ndio ilimuuma sana kuona mkewe Ghost na mwanae wanamsnitch.....Alitokea kwenye Power II na kukinukisha hatari maana walimpakazia yeye ndio kamuua Ghost kumbe sio kweli
Ghost anakufaKwa hyo Ghost atakufa?
Du imeniuma sana kma anakufa kila Angel nini?Ghost anakufa
Kisa Angel nini?Ghost anakufa
Anaanza kufa Angel , ghost anakufa mwishoni tariq ndiye anamuua ghostDu imeniuma sana kma anakufa kila Angel nini?
50 cent mafia sana shwan kaenda na maji tu mtoto wake hatari sanaAnaanza kufa Angel , ghost anakufa mwishoni tariq ndiye anamuua ghost
Inahusiana na nini? Muwe mnatupa story fupi za series mnazotushawishi tuangalia kuliko kuishia tu kusema ni nzuri kwasababu tunatofautiana kwenye ladha
Hii ni sawa tumeongezekaMaisha halisi, mwanzo alikua anaitwa Ellen Page sasa hivi ni Elliot Page, na matiti kakata
Holly alimnyongelea mbali, ila alikapenda sana kale kademuHalafu jamaa ni royal sana yeye hajali kuwa wewe ni mtu wake wa karibu au mbali ukiwa snitch ana deal na wewe! Nakumbuka mchumba wake alikuwa anataka kumkamatisha Ghost halafu akamwambia yeye kuwa tumchomeshe Ghost daaa jamaa ilibidi amuondoe mchumba ake baada ya kuona ni snitch!


Unasubiri nini kuiangalia?Kwa hyo Ghost atakufa?