Series (Special thread)

Series (Special thread)

The night of

Review 8.5/10
Hili ni bonge la season ambalo limenibamba sana..ni la kitambo kidogo 2016) uwezi jutia mda wako.Hili chuma ni lina "drama" na "crime"
Humu ndani kuna kijana asili ya kihindi, kwa majina yake "Nasir Khan".
Nasir khan anaalikwa kwenye party na rafiki yake wa shule.Mzee wake ni dereva Taxi,So usiku wa mwaliko anamvizia mzee na bi mkubwa wake wako chumbani anaiba funguo ya Taxi ya mzee na kutokomea nayo kuelekea kwenye party.

Njiani anambeba binti kama abiri,Safari yake ya kwenda kwenye party inaishia hapo anajipata yuko nyumbani kwa binti,akiwa kwa binti analewa na kuvuta madawa..
Wanaangukia kwenye kitanda wanafanya anasa,usiku mkali Nasir khan anashtuka ni mda wa kurudi nyumban na ameshachelewa,anarudi chumban anakuta binti kauwawa kifo cha kikatili sana...

Anachanganyikiwa,anaamua kutoroka kwa zile haraka haraka zake na wasiwasi anatoka apande Taxi ya babake bahati mbaya kasau funguo ndani,inabidi arudi na mlango umejiloki teyari kwa ndani..

Je atafanikiwa kuingia na kupata funguo yake?
Atafanikiwa kutoroka bila kukamatwa?
Hapo ndio mwanzo wa visa na mikasa...
Litafute ulicheki hutajutia mda wakoView attachment 2184847
Ubaya hii series ilitoka season 1 then wakaipiga chini
 
Maelezo kidogo..kuhusu hii.

#MaendeleoHayanaChama

Ni story ya kweli inayohusu ndugu wawili demetrius and terry flenory,hawa jamaa walikua wanafanya biashara ya madawa ya kulevya na utakatishaji wa fedha(money laundering)mimi niliangalia documentary yao hii series ninayo ila bado sijaingalia na mmoja wa waigizaji ni mtoto wa demetrius..
 
Ni story ya kweli inayohusu ndugu wawili demetrius and terry flenory,hawa jamaa walikua wanafanya biashara ya madawa ya kulevya na utakatishaji wa fedha(money laundering)mimi niliangalia documentary yao hii series ninayo ila bado sijaingalia na mmoja wa waigizaji ni mtoto wa demetrius..
Mzigo mkali sana huo 50 cent anafanya unyama sana kwenye haya madude yanayohusu maisha halisi ya mtaa
 
Nacheki Umbrella Academy naona iko poa kiasi chake. Japo Eliot kabadiri jinsia na kua Mwanaume
 
Kweli na mimi ni fan wa series na movies zote ambazo either 50cent kaigiza au kaproduce lazima niziangalie maana zinafundisha sana kuhusu maisha.
Fifty is an inspiration to hustlers he knows how to navigate life. Kama ulisoma vitabu vyake vya The 50th Law na Hustle Hard, Hustle Smart anakuambia akiamua kufanya jambo anafanya bila kuacha kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom