instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
Itafute ni nzr kinyamaBreaking bad ndio sijaiona hapo...
Itafute ni nzr kinyamaBreaking bad ndio sijaiona hapo...
Chuma hicho tafutaa yani hutatamani season iisheBreaking bad ndio sijaiona hapo...
Chuma hicho tafutaa yani hutatamani season iishe
Itafute ni nzr kinyama
Ubaya hii series ilitoka season 1 then wakaipiga chiniThe night of
Review 8.5/10
Hili ni bonge la season ambalo limenibamba sana..ni la kitambo kidogo 2016) uwezi jutia mda wako.Hili chuma ni lina "drama" na "crime"
Humu ndani kuna kijana asili ya kihindi, kwa majina yake "Nasir Khan".
Nasir khan anaalikwa kwenye party na rafiki yake wa shule.Mzee wake ni dereva Taxi,So usiku wa mwaliko anamvizia mzee na bi mkubwa wake wako chumbani anaiba funguo ya Taxi ya mzee na kutokomea nayo kuelekea kwenye party.
Njiani anambeba binti kama abiri,Safari yake ya kwenda kwenye party inaishia hapo anajipata yuko nyumbani kwa binti,akiwa kwa binti analewa na kuvuta madawa..
Wanaangukia kwenye kitanda wanafanya anasa,usiku mkali Nasir khan anashtuka ni mda wa kurudi nyumban na ameshachelewa,anarudi chumban anakuta binti kauwawa kifo cha kikatili sana...
Anachanganyikiwa,anaamua kutoroka kwa zile haraka haraka zake na wasiwasi anatoka apande Taxi ya babake bahati mbaya kasau funguo ndani,inabidi arudi na mlango umejiloki teyari kwa ndani..
Je atafanikiwa kuingia na kupata funguo yake?
Atafanikiwa kutoroka bila kukamatwa?
Hapo ndio mwanzo wa visa na mikasa...
Litafute ulicheki hutajutia mda wakoView attachment 2184847
Maelezo kidogo..kuhusu hii.
Maelezo kidogo..kuhusu hii.
#MaendeleoHayanaChama
Mzigo mkali sana huo 50 cent anafanya unyama sana kwenye haya madude yanayohusu maisha halisi ya mtaaNi story ya kweli inayohusu ndugu wawili demetrius and terry flenory,hawa jamaa walikua wanafanya biashara ya madawa ya kulevya na utakatishaji wa fedha(money laundering)mimi niliangalia documentary yao hii series ninayo ila bado sijaingalia na mmoja wa waigizaji ni mtoto wa demetrius..
Kweli na mimi ni fan wa series na movies zote ambazo either 50cent kaigiza au kaproduce lazima niziangalie maana zinafundisha sana kuhusu maisha.Mzigo mkali sana huo 50 cent anafanya unyama sana kwenye haya madude yanayohusu maisha halisi ya mtaa
Yes mwamba amepitia hayo maisha kwahiyo ndo maana anajua A-ZKweli na mimi ni fan wa series na movies zote ambazo either 50cent kaigiza au kaproduce lazima niziangalie maana zinafundisha sana kuhusu maisha.
BalaaYeah,snowfall kali sana..
Kabadili kwenye movie au kwenye maisha yake ya kawaida?Nacheki Umbrella Academy naona iko vya kiasi chake. Japo Eliot kabadiri jinsia na kua Mwanaume
Maisha halisi, mwanzo alikua anaitwa Ellen Page sasa hivi ni Elliot Page, na matiti kakataKabadili kwenye movie au kwenye maisha yake ya kawaida?
Duh! Hii hatari je kuna movie yoyote kacheza Huu uhusika ukitoa maisha yake ya kweli?Maisha halisi, mwanzo alikua anaitwa Ellen Page sasa hivi ni Elliot Page, na matiti kakata
Ongezea naList ya Season kali za Drug dealers
BREAKING BAD
NARCOS
QUEEN OF SOUTH
POWER
SNOWFALL
Wewe unaangalia series kweli za madawa. So kuna zingine kwa ambao hawajaona hizi:Ongezea na
TOP BOY
SUBURRA
GOMORRA
GODFATHER OF HARLEM
Fifty is an inspiration to hustlers he knows how to navigate life. Kama ulisoma vitabu vyake vya The 50th Law na Hustle Hard, Hustle Smart anakuambia akiamua kufanya jambo anafanya bila kuacha kitu.Kweli na mimi ni fan wa series na movies zote ambazo either 50cent kaigiza au kaproduce lazima niziangalie maana zinafundisha sana kuhusu maisha.
nlikuwa naifatilia sana hii aseeee ni ktuuuuSeries Kali ya hustle za mtaa nenda kacheki "The Chi" ndugu hutajutia
Mbna mimi siipat naona movie ya jason statham tuNaombeni site ambayo naweza download breaking bad kwa mb za chini.
Chini ya mb 120 kwa episode.