Hii ngoma season 3 ni ya moto.
Hii series nimepoteza MB zangu ina scene nyingi za kisagaji.Kuna mzigo mwingine huu hapo...Duniani kunatokea sitofahamu na wanakufa watu wote ila wanao survive ni wale tu wenye Y Chromosome...kaseries kazuri sana haka
Kuna mwamba mmoja atabaki sasa kuna sehem alijichanganya akakutana na watoto wa kike kama wote
Ina season one na iko na episodes 10!!
Itafutane hiiView attachment 2021100View attachment 2021101
Hii series inazungumzia nini? Kuna Kitabu fulan nilikiona sehem kina title hiyo (the wheel of time).Hahahah watu naona wanachanganya wakisikia professor wanajua Money Heist. Kuna na The wheel of Time pia![]()
Hii series inazungumzia nini? Kuna Kitabu fulan nilikiona sehem kina title hiyo (the wheel of time).
Nzuri?
Hahahaha watu tunapenda kutumia neno mkuu sana mpaka tunajisahau kwa wadada 😆😆😆
Hahahaha watu tunapenda kutumia neno mkuu sana mpaka tunajisahau kwa wadada![]()
Kweli ni mazoea tu tuliojiwekea sema wengi wao hawapendiHalafu Najiulizaga hivi hata mdada si anawezq akaitwa Mkuu kama yeye ni boss au ana nafasi fulan n.k nahisi sio tatizo sema tumezoea kuwa wakuu ni sisi wanaume
Hahahaha watu tunapenda kutumia neno mkuu sana mpaka tunajisahau kwa wadada![]()


Kwani hakuna wadada wakuu, mkuu?Baada ya Series ya Hawkeye chochote kutoka kwa Jeremy Renner naaangalia tu
Bado hawajakujibu tu... Anyway, mi nilihadithiwa kidogo ila inaonesha ni bonge la series. Ila sijui pakuipakulia, bando ninalo lakutosha. Ukipata link share na mm mkuuKma kuna mtuu kaangalia hii
Vip iko vizuur?View attachment 2020249
Bado hawajakujibu tu... Anyway, mi nilihadithiwa kidogo ila inaonesha ni bonge la series. Ila sijui pakuipakulia, bando ninalo lakutosha. Ukipata link share na mm mkuu
Angalio pia Ozark Kama bado..familia moja inapambana kutakatisha mabilion ya dola waliyopewa na wauza madawa..Ni vievile Kama breaking bad..Breaking bad haina mpinzani kwanye kugusa maisha ya sasa hivi nyakati za watu kukimbizana na shilingi ili kutatua yanayo wasibu. Nimeshaitizama mara 2