Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 761
Sijajua mkuu maana nikishaona ivo hata hamu ya kufuatilia sinaKwann wamei cancel
Sijajua mkuu maana nikishaona ivo hata hamu ya kufuatilia sinaKwann wamei cancel
Mzigo umetulia sana huu, nasubiria season 4
Succession ndio best show on TV kwasasa
Halotel wametupiga na kitu kizitoJamani mnashusha ma series kwa kutumia bundle gani? Au kuna bando la usiku mimi silijui maana hali mbaya
Series kali sana hii,season 2 imetoka tayali icheki mkuuKumbe imeshatoka season 2?
Bonge moja la series.
Daaah too bad aiseeKumbe Hit & Run haitoendelea (Cancelled)
Hii ya tatu iliyotoka juzi kati ndio ilikuwa final season mzee
Hahaha hali ni mbaya mzeeHalotel wametupiga na kitu kizito
24 nusu inifelisha O Level dahNarudisha shukrani kwa yule alienishauri kuiangalia SEE.
Ubarikiwe sana.
Kwa wale mnaoendelea na season 2, pale ilipofikia ni mwisho?
Maana sitaki niishie kwenye utamu, nataka nikiangalia nimalize moja kwa moja.
Uvumilivu wa kulaza viporo huwa sina kabisa.
Mfano mzuri tu ni namna 24 ilivyonifanya nikeshe 2 days in a row.
Ila asiangalizie sebuleni au na watotoTafuta Banshee ipo vizuri ina action alafu ina story nzuri ya kuvutia but ina mambo ya kikubwa Sana.
Scandal.. moja ya series kali sana sanaNdugu yangu Mimi nilisema hivyo humu ndani kuna mtu alinishambulia kweli akasema nna chuki binafsi yaani narudia tena kusema The Oval ni Scandal iliyopooza.. kama unaijua scandal nadhan umensoma kama haujaichek kaiangalie mzee utaona resemblance...sema ile ni way better
Shonda Rhimes hapa aliandika aisee.. naikubali sana, Olivia PopeScandal ni nzuri zaidi.... akina Olivia Pope na kile kitengo chao
The Oval huoni hata hiyo nafasi ya Rais, hakuna hata kikao na safu yake ya uongozi yani inaboa kwa kweli.
Greys Anatomy kali sana, sema mpaka leo haijawai kuisha inaendelea tuMed series ambazo nimevutiwa Nazo ni
New Amsterdam
Chicago med (hizi ni my favorite series).
PRISON BREAK NI UNYAMA SANA huwa naingalia Sana hii series khaa!
Shonda Rhimes hapa aliandika aisee.. naikubali sana, Olivia Pope
Ndio mkuuHii ya tatu iliyotoka juzi kati ndio ilikuwa final season mzee