Marapai
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 314
- 374
Itafute.. Ni mashine.. Storyline kama za Jason BourneEhee
Itafute.. Ni mashine.. Storyline kama za Jason BourneEhee
Kwanini lakini??Haitoendelea tena season 2
Maelezo kidogo kiongozi..nafuta series ya kuangaliaNyie mnaijua Treadstone Nyie
Moja kati ya series bora kabisa mimi kuwahi kuangalia.Nyie mnaijua Treadstone Nyie
Nimesoma synopsis yote Wikipedia, naona kama nimeiona tayariTittle:Midnight Mass
:
Season 1 (Episodes 07)
:
Status: Complete
:
Genres😀rama,Horror, Mystery
:
Country Of Origin: United States,Canada
:
Rate: 7.1/10
:
STORYLINE
The tale of a small, isolated island community whose existing divisions are amplified by the return of a disgraced young man and the arrival of a charismatic priest. When Father Paul's appearance on Crockett Island coincides with unexplained and seemingly miraculous events, a renewed religious fervor takes hold of the community - but do these miracles come at a price?


Hakuna kitu humo mkongwe!!!Ila hakuna series ya kiboya kama The Oval
Hii season 2 imetosha nimenawa mikono
Squid game ya moto sanaBanshee
Squid Game
Hi kali aise ndo nimeimaliza saivi.Series: Gangland
Year: 2021 -
Genres: Action, Crime, Drama
Language: French
Country: France
Rates: 7.1/10, Tv-Ma
Ufaransa na wao wana jambo lao hili hapa, Mzigo mtamu sana. Stori yake ni Mwamba yeye ana timu yake ya wezi lakini hawaibii watu wao ni wizi wa Mamilioni ya pesa.
Deal lao la mwisho kupiga ilikua ni kuiba Gold, Na ni Ma Pro kweli kweli. Sasa ana Kajomba kake kabinti, Kumbe kana michezo ya chini chini kudokoa dokoa vitu na timu yake flani.
Sasa kuna siku wakadokoa ambavyo havitakiwi kudokolewa, Yaani walibeba Cocaine alafu waka Plan iuzwe msala ukaanzia hapo. Sitaki kuongea mengi, Ila kwa ufupi jamaa kutokea kufanya mission za kuiba vitu inageuka now kua Mission ya kumuokoa Mjomba.
Mzigo una Eps 06 tu za maana sana.View attachment 1962408
Anazingua kwaniniHi kali aise ndo nimeimaliza saivi.
Japo lian nazingua sana aise
Isema hapa nikaenda kudownload...eeh hii machine ni noma hatari sana bonga la movieWeekend yako ukiwa unajiuliza uangalie nini nakushauri download huu mzigo .kama unapenda series za kitumia akili basi hii inaufaa sana na uzuri haina episode nying zipo 8 tuu.View attachment 1931454
Sijajua sema haitoendelea tenaKwanini lakini??
Sanaaa na anaumiza kichwa kupata series nyingine kama iyoNetflix kapiga pesa ndefu hapaView attachment 1962195
Mzigo mzuri huo na season 3 itaendelea mwakani tuombe tu covid -19 isishambulie tena kama kipindi cha nyuma maana iyo season 1 ilitoka 2019 lakini covid ilivyokuwa kali wakapotezea kushoot kwa muda ndio season 2 ikatoka mwaka huuNarudisha shukrani kwa yule alienishauri kuiangalia SEE.
Ubarikiwe sana.
Kwa wale mnaoendelea na season 2, pale ilipofikia ni mwisho?
Maana sitaki niishie kwenye utamu, nataka nikiangalia nimalize moja kwa moja.
Uvumilivu wa kulaza viporo huwa sina kabisa.
Mfano mzuri tu ni namna 24 ilivyonifanya nikeshe 2 days in a row.
Mwangau baharia mweusi natafuta series kaliiiii ya kangalia likizo hiii nipo bushi ya kutumia akili nyingi sana mkkk msaaada plzSanaaa na anaumiza kichwa kupata series nyingine kama iyo