Series (Special thread)

Series (Special thread)

Story ya kawaida then wanarefusha tu bila sababu zozote, then waigizaji wengi ni kama wanajifunza hawapo kwenye uhalisia.

Ndugu yangu Mimi nilisema hivyo humu ndani kuna mtu alinishambulia kweli akasema nna chuki binafsi yaani narudia tena kusema The Oval ni Scandal iliyopooza.. kama unaijua scandal nadhan umensoma kama haujaichek kaiangalie mzee utaona resemblance...sema ile ni way better
 
Familia moja inajikuta katika wakati mgumu wa kuwindwa na serikali , hivyo wanaamua kutoroka US kuelekea LATIN AMERICA kupitia njia ya hatari ya mexico...

Huwezi juta kuiangalia...
20210918_221929.jpg
 
Familia moja inajikuta katika wakati mgumu wa kuwindwa na serikali , hivyo wanaamua kutoroka US kuelekea LATIN AMERICA kupitia njia ya hatari ya mexico...

Huwezi juta kuiangalia...View attachment 1944004
Mh hii nayo chenga tupu.. yan mpka season 1 inaisha haijulikani jamaa kinachomkimbiza ni kitu gani?
 
Huyo aliyeshika maandishi hayo anaitwa nick video yake inasambaa mitandani na inaonesha ikifika views million 5 jamaa anauliwa na watu waliomteka kwahiy familia na polisi wanashirikiana kuzuia isifike views 5M lakin wanashindwa na Nick anaokotwa akiwa amekufa maswali yanabaki ni nani amefanya hilo tukio na kwasababu gani
Yaonekana nzr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom