Series (Special thread)

Series (Special thread)

Cloak & Dagger
Marco Polo
Ziko vp hzo mkuu??
Screenshot_20180722-212624.jpg
Screenshot_20180722-212528.jpg
 
Haina tecnology kidgo hii
unataka technolojia ipi labda...maana kila zama na technolojia yake.... hata zama za 1980s to 1990s kulikuwa na technolojia yake iliyokuwa juu kwa kipindi hicho... na hii series imejikita kwenye espionage and counterintelligency kati ya KGB NA FBI ....... bado sijaona series yenye stories kali kama hii
 
Zimekuwa Cancelled na ABC
The Brave
Designated survivor
Quantico
Lucifer
Taken
The Crossing
Yaani hizi series TAKEN wamempa uwezo mkubwa sana jamaa kila mission anafaulu kila mission anafaulu hata JACK Baoue zingine alikuwa ana feli sio kama star wa humu ilinichosha nkaacha season one, Ukija QUANTICO niliikataa humu humu ina maflashback mengi inawachanganya watazamaji nikaaicha season 2.. Designated Survivor ilianza vizuri sana ...ilipokuja season two full politics no action as mostly thoughts of it yaani ikanikata genye zote.... The crossing wameikata kama THE EVENT kuna vitu nafikiri wanavificha maana the crossssing na the event ni kama kulwa na dotto maudhui ni yale yale nacho nilikihisi tu ..na kuna mdau humu alisema isipocancelliwa hii sijui mara paaaaap KAAAA-TA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom