xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,133
- 7,352
Hii nayo nzur kijana?? Inahusu nm zaidMkuu huu mzigo bado sana ndiyo kwanza tuko episode ya 06, bado episode 7 mkuu...!
Sipatii picha huko Chicago patakuwaje..!
Hii nayo nzur kijana?? Inahusu nm zaidMkuu huu mzigo bado sana ndiyo kwanza tuko episode ya 06, bado episode 7 mkuu...!
Sipatii picha huko Chicago patakuwaje..!
Hii nayo nzur kijana?? Inahusu nm zaid
Haina tecnology kidgo hiiNi bonge la show kijana,
KGB vs FBI miaka hiyo ya 1990's kwenye aridhi ya marekani.
Iko poa mkuu icheki hutojutia aseeHivii wakuu hakuna aliye angalia taken humu ndani naona nimeuliza Mara tatu ziii
Tupo wadau usihofuNauliza The Brave,ikitoka season 2 au kama inaendelea mnijulishe.
Nimepitia huu ''Uzi'' kinaga ubaga.Nakupongeza mkuu uko vizuri kwenye series. ...Professor hajawai mwacha mtu salama
Haina tecnology kidgo hii
Asee hata mm sijutii mzeeJomba mm natumia terrerium tv,sijawah kujuta,sitajita na nitaendelea ku enjoy series yyte kwa ukubwa na quality nayotaka..
Mkuu hiyo inakuwaje ni app auJomba mm natumia terrerium tv,sijawah kujuta,sitajita na nitaendelea ku enjoy series yyte kwa ukubwa na quality nayotaka..
nipe linkJomba mm natumia terrerium tv,sijawah kujuta,sitajita na nitaendelea ku enjoy series yyte kwa ukubwa na quality nayotaka..
Rud post ya 10881 utakutana na link niliiweka asbhi kiongoznipe link
Sawa mdauTupo wadau usihofu
Subtitle
Series?!...siijuiNani kaingalia The Mechanics?
Mkuu naomba nelekeze apa namna ya kupakua.
Mkuu naomba nisaidie namna ya kushusha vitu kupitia utorrent ..Mimi Bado sjajua mkuuDownload the crossing Torrents | 1337x
Hapa ndo mtama kwa watoto