Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mkuu naomba nelekeze apa namna ya kupakua.
Ka unatumia simu download na install application kama u torrents,bit torrents, fluid au vuze kutoka play store then bonyeza hiyo link itakuletea page bonyeza palipoandikwa get this torrent direct itakupeleka kwenye page ya apps moja wapo uliyoinstall bonyeza palipo andikwa add itaanza kudownload
 
Mkuu naomba nisaidie namna ya kushusha vitu kupitia utorrent ..Mimi Bado sjajua mkuu
Kama link inatoka katika site ya lime torrent chagua episode ya series/movie yenye quality na aina itakayoendana na kifaa utakachotumia kuiangalia pia yenye seeders wengi ibonyeze kisha itakuletea page bonyeza palipoandikwa magnetic link then itakuletea downloader apps ulizozi install chagua moja wapo itaanza download!
 
Nimepitia huu ''Uzi'' kinaga ubaga.Nakupongeza mkuu uko vizuri kwenye series. ...
Nina ombi nina mpango wa kununu external hard disk soon.Unaweza nipatia series hata kama ni kwa malipo?
No need ya malipo ukinunua tuwasiliane tuone namna gani naweza kukupatia
 
Jamani asaivi nikidownload zikishakamilika zinakuwa kwenye format ya compressed file ukitaka kuli extract linaleta option ya kuweka password.

Naomba msaada hapo wadau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom