Series (Special thread)

Series (Special thread)

Jamani sikutegemea kama Slattery angepatikana,nikajua anauliwa au anakufa jomoni I'm happy Last ship mie weee. Sasa Georgia Kazi anayo na yule alshabab wake
espy The last ship tamu jomoni xav bero
Kati ya ugonjwa wangu mkuu ni kushika majina aisee, hata wanafunzi wangu wengi siwajui majina.

Ngoja kwanza nikipata muda nitaicheki maana sijajua unaongelea nini mama!
 
Narcos Season 3 nimeimaliza leo
Cali Cartel imedondoshwa
Gilberto na Miguel wamekamatwa
Kina Pacho wameuawa

Agent Pena kastaafu rasmi

Episod 10 hiyo
 
Jamani sikutegemea kama Slattery angepatikana,nikajua anauliwa au anakufa jomoni I'm happy Last ship mie weee. Sasa Georgio Kazi anayo na omar wake
The last ship tamu jomoni
Mazee mnanipa mamzuka ya kurudi kwenye Last ship ...nakumbuka nilichekigi season 1 tena episod mbili tu, nkakosa ma feelings za kuendelea icheki. ..ila kaa vip naeza fanya namna aise maana wadau wanasema ni kali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazee mnanipa mamzuka ya kurudi kwenye Last ship ...nakumbuka nilichekigi season 1 tena episod mbili tu, nkakosa ma feelings za kuendelea icheki. ..ila kaa vip naeza fanya namna aise maana wadau wanasema ni kali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
like serious??
I mean are you real serious??!
Hebu ichek please malizia season one usipoipenda niambie nikurudishie bando lako...
 
Nimemaliza kuangalia "Narcos" Season 3. Baada ya kufa Pablo Escobar series haiwezi kuwa sawa na kabla ya kubwa la maadui lenyewe kufarikia.

Kama hujaiangalia itafute Season 1 and 2, inaonyesha maisha ya Colombia na biashara ya madawa ya kulevya enzi za Pablo Escobar.
 
Check hiii...
1.Designated survivor
2.24 legacy
3.blindspot
4.shooter
5.zoo
6.Jason Bourne series
7.scorpion
8.queen of the south
9.the last ship
10.salvation
Hutojuta ukizicheki hizo series...
Ni series za kutumia akili nyingi sanaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom