Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,773
- 49,370
Hii inaonekana tamu kesho naishusha for the weekendView attachment 3630589
Chukueni hiyo wakuu
Hii inaonekana tamu kesho naishusha for the weekendView attachment 3630589
Chukueni hiyo wakuu
Kitambo lini uliicheki?Hmm kitambo sana!
Nimepata vyuma vya weekend jap imeigizwa na mwanamke ila naishusha. InatuvituvituAisee haipoi haiboi episode ya kwanza mpaka ya mwisho🙌🏾View attachment 3630598
Si ilivyotoka tu, au🫢Kitambo lini uliicheki?
Mambo ya gender issues achana nayo mkuu, mimi nakupa vitu vya uhakika tu😎Nimepata vyuma vya weekend jap imeigizwa na mwanamke ila naishusha. Inatuvituvitu
Ilinipitaje hii kitu dahSeries mpya Run Away ”seeing is believing”
Mbona ilianikwa sana humu, ilikuwa safi! Itakuwa tu ulikiwa na list ya kutosha, Kaicheki mkuu..Ilinipitaje hii kitu dah
Mr QNdio naiangalia hapa, so far ni binti alipotea na wazazi wake wanajuhudi ya kumtafuta bila mafanikio, babaake anasingiziwa kesi ya mauaji ya kijana aliyemkuta na bintiye hapo mwanzo na kumdunda vibaya sana mbele ya watu! Kijana baadaye aliuliwa na aliyemuua hajulikani! Kesi inabaki kwa baba mtu
Nilikuwa nimeidownload episode 1 ili niitest kama watu wanavyoipaisha ila kwa maelezo yako haya yamenivutia na umenifanya nikawatchBaba ni tamu balaa, huyu dem bana, wameiba pesa ndefu sana yeye na bf wake halafu jamaa akamtoroka hotelini, wametangazwa kwenye vyombo vya habari FBI wanamtafuta na wasakara wanamsaka hawaelewi kabisa ila dada ana mbinu vibaya mno walianza umafia akiwa mdogo na mshua wake amabaye kwa sasa yuko gerezani, KWAHIVYO mpaka sasa hakuna alofanikiwa kumnasa! Nimeishia episode ya 2 aisee itoke ya 3… now nipo naendelea na Rise or die naye huyu bibi hachekeshi!🙌🏾
Ikoje?View attachment 3630589
Chukueni hiyo wakuu
Hiyo story ya movie gani?
Run AwayHiyo story ya movie gani?
AsanteRun Away
Kazi kali mnoTukutane mwezi wa nane
Huyu ndio jaki richa alikuwa mzembe kumgonga dah ningekuwa mimi nishamlaTukutane mwezi wa 9
Ana sauti fulan kama anaumwa mafua sauti ya kuvutiaHuyu ndio jaki richa alikuwa mzembe kumgonga dah ningekuwa mimi nishamla