Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,822
- 81,823
Naam kabisa kaka huyu mtoto mzuri mno hapo mimi ningekulaAna sauti fulan kama anaumwa mafua sauti ya kuvutia
Naam kabisa kaka huyu mtoto mzuri mno hapo mimi ningekulaAna sauti fulan kama anaumwa mafua sauti ya kuvutia
Naam kabisa kaka huyu mtoto mzuri mno hapo mimi ningekula


thank you for this baby gurl, Jana umenilaza satisa, ila sikujutia kabisa.!🔥🔥Aisee haipoi haiboi episode ya kwanza mpaka ya mwisho🙌🏾View attachment 3630598
Huwa naiona kwenye trending naipuuzia, Inahusu nini..!?View attachment 3631566
Ipo vizuri sana.
Ningepiga 😄😁😁Ila we jamaa![]()
Kama ulivyosemaIlianza vizuri sana ila ep zinazofuata kua uhindi mwingi
Hapana hii ipo vizuri ni vile jamaa hawapendi wakorea. Hii series iko na u serious sana hakuna kucheka ovyo humo wewe maliza episode zote alafu njoo utoe mrejesho humu ninachokuambiaKama ulivyosema
Hawa wajinga hawajawahi kuwa serious
Wanajitahidi kuwa na idea nzuri ila kwenye uigizaji ni hopeless kabisa.
So tuachane nayo?Kama ulivyosema
Hawa wajinga hawajawahi kuwa serious
Wanajitahidi kuwa na idea nzuri ila kwenye uigizaji ni hopeless kabisa.
Mimi nimeangalia hadi episode ya 7 nimeishia tu dakika za katikati pale ambapo jamaa amepewa task nyingine baada ya kufanyiwa torture kama mtihani wa kumpima anaweza kutoa siri.Hapana hii ipo vizuri ni vile jamaa hawapendi wakorea. Hii series iko na u serious sana hakuna kucheka ovyo humo wewe maliza episode zote alafu njoo utoe mrejesho humu ninachokuambia
Hapana, kila mtu na anavyoona.So tuachane nayo?
Kwahiyo umeionaje ni sawa na Korean zingine za miyeyusho?Mimi nimeangalia hadi episode ya 7 nimeishia tu dakika za katikati pale ambapo jamaa amepewa task nyingine baada ya kufanyiwa torture kama mtihani wa kumpima anaweza kutoa siri.
Mwenyewe sikutaka kulaza damu, mwanzo mwisho nnayo! good movie..!thank you for this baby gurl, Jana umenilaza satisa, ila sikujutia kabisa.!🔥🔥
kama kawaida😋, haya naomba namimi kalikali nikajionee mambo, leo niko pekeyangu🤗Ningepiga 😄😁😁
Hizi usitazame peke yako utalowaaa na mvuaaakama kawaida😋, haya naomba namimi kalikali nikajionee mambo, leo niko pekeyangu🤗
Hapana ntajikaza mkuu, hapo nimeona euphoria tu!Hizi usitazame peke yako utalowaaa na mvuaaa
1.Orange Is the New Black
2.Euphoria
3.The L Word
4.The Sex Lives of College Girls
😃😄😁😀 niongeza tafuta moja inaitwa kiss and killHapana ntajikaza mkuu, hapo nimeona euphoria tu!
Kama nishaichek, ntakupa mrejesho, ila hiyo ya kwanza jamani ina season zinafika 7😳😃😄😁😀 niongeza tafuta moja inaitwa kiss and kill
Achana nayo njoo hii ya chini ila usiwe peke yako plzz uwe na mtu pembeniKama nishaichek, ntakupa mrejesho, ila hiyo ya kwanza jamani ina season zinafika 7😳