Series (Special thread)

Series (Special thread)

Ndio naiangalia hapa, so far ni binti alipotea na wazazi wake wanajuhudi ya kumtafuta bila mafanikio, babaake anasingiziwa kesi ya mauaji ya kijana aliyemkuta na bintiye hapo mwanzo na kumdunda vibaya sana mbele ya watu! Kijana baadaye aliuliwa na aliyemuua hajulikani! Kesi inabaki kwa baba mtu
Inaonekana ni nzuri
 
Aah bana.. kweli!!?
Mbona iko kwenye My Downloads.. ila bado sijaicheck
Ni nzuri mbona. Worth watching!

Nimesema hivo kwa sababu nimeona clip nyingi insta wamarekani wakicompare movies hii huwa wanaipendelea sana kuliko baadhi ya movies nyengine kali, which kwa upande wangu sikubali kwa baadhi ya selection.
 
Series nilizo futa.
1. Nero the assassin (hii ilianza vizuri na mazingira waliyochagua yanavutia sana ila Kuna vitu sikuvipenda nimeishia episode 2
2. Monster(japo Ina scenes za damu damu ambazo kimsingi ni nzuri ila sikuielewa wapi inanipeleka) nimeishia episode 3

HIi monster nitakuja kujilazimisha niangalie season 1 nzima huko baadae
 
Series nilizo futa.
1. Nero the assassin (hii ilianza vizuri na mazingira waliyochagua yanavutia sana ila Kuna vitu sikuvipenda nimeishia episode 2
2. Monster(japo Ina scenes za damu damu ambazo kimsingi ni nzuri ila sikuielewa wapi inanipeleka) nimeishia episode 3

HIi monster nitakuja kujilazimisha niangalie season 1 nzima huko baadae
TUsubirie hijack tarehe 14 mwezi hu
 
Mwana akili zake kama zangu tu anapenda dawa mixer watoto wazuri
Screenshot (173).png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom