Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 16,209
- 37,413
Wakubwa inakuwaje.
iPhone user movie mna download wapi?![]()
Kumbe watu mnaangalia movie kwenye simu na mnainjoy kabisa?
Njia rahis ni Telegram mkuu
Wakubwa inakuwaje.
iPhone user movie mna download wapi?![]()
Sawa mkuuKumbe watu mnaangalia movie kwenye simu na mnainjoy kabisa?
Njia rahis ni Telegram mkuu
Aina movie zinazopendwa ni tofauti na sisi tunazopenda Africa so usidanganyike sana rate zao, zipo nzuri na zina rate nzuri na zipo mbaya ambazo zina rate kubwaMh kumbe kali, nimeangalia episode moja ikanichosha
Unataka kusema hata links zinazo wekwa humu hizo aiphoni zenu zinabagua? Au ni swaggah tu unataka tujue umejipatia ka aiphoniWakubwa inakuwaje.
iPhone user movie mna download wapi?😂🙌🏿
Na leoleo umesha zicheki zote na kuhitimisha?View attachment 3629603
Hatari na nusu 🔥. Imeachiwa leo na leoleo nimeichukua😂. Mzigo hadi sasa una episodes mbili zote zamoto.
Sasahivi nazirudia kwa mara ya tatu. Nakuwekea link yake hapa tumia torrent ku-downloadNa leoleo umesha zicheki zote na kuhitimisha?
Inahusiana na Nini?View attachment 3629603
Hatari na nusu 🔥. Imeachiwa leo na leoleo nimeichukua😂. Mzigo hadi sasa una episodes mbili zote zamoto.
Mwenyewe nimeulizwa mkuuUnataka kusema hata links zinazo wekwa humu hizo aiphoni zenu zinabagua? Au ni swaggah tu unataka tujue umejipatia ka aiphoni
Lipia apple tv tu hakuna namna au tumia uttorent mixer vpnWakubwa inakuwaje.
iPhone user movie mna download wapi?😂🙌🏿
Huyu binti kazi zake huwa ni kali mnoView attachment 3629603
Hatari na nusu 🔥. Imeachiwa leo na leoleo nimeichukua😂. Mzigo hadi sasa una episodes mbili zote zamoto.
Ipo fresh kakaMh kumbe kali, nimeangalia episode moja ikanichosha
Poa poa nitapita nayoIpo fresh kaka
ScarsJapo huwa sizikubali za upande wa huko lakini je hii inaweza kuwa real deal?
View attachment 3621939
Naam ngoja niidownload hapa kaka kesho nipate cha kutazama kazini mida ya jionii nikipata na sigara yangu ya winston taratibuuu😎😎Tangu mwezi jana nilikuwa naiona hii ila niliamua kuipotezea kwasababu ya wakorea kuzidisha masihara kwenye scenes zao.
View attachment 3629773
Kuna jamaa anaitwa Rahul huko IG kanifanyia recap ya hii series ambayo ikanifanya nipende idea. Nikaamua niicheki wakati nasubiria game ya baadaye.
Mr Q, Vincenzo Jr sijui kama mmeicheki ila nataambaa nayo hivyo hivyo ikiniletea alosto naifungia busta kesho naimaliza. Japo zinaendelea kutoka na mpaka sasa zilizokamilika ni episode 6.
Tafuta kitu cha marlboro siku ikae sawa 😁😁Naam ngoja niidownload hapa kaka kesho nipate cha kutazama kazini mida ya jionii nikipata na sigara yangu ya winston taratibuuu😎😎
Hiyo series ni Kali hasa kuanzia episode ya 2 kwendelea ndio utamu unanoga na Kuna nyingine imetoka mwaka huu inaitwa The Husband weka kwenye list yako nayo ni ya kikorea wakati wapo kwenye ndoa yenye mgogoro so jamaa anaamua kuomba talaka kwa mkewe wakati sakata ndio linapamba moto mkewe anatekwa na mtekaji anaambiwa apeleke kiasi kikubwa cha fedha hajakaa vizuri Police wanamkamata kwa kesi yeye kuhusika kuwa ndio amemteka mkewe na mazingira yote yanaonesha hivyo ingawa hajafanyaTangu mwezi jana nilikuwa naiona hii ila niliamua kuipotezea kwasababu ya wakorea kuzidisha masihara kwenye scenes zao.
View attachment 3629773
Kuna jamaa anaitwa Rahul huko IG kanifanyia recap ya hii series ambayo ikanifanya nipende idea. Nikaamua niicheki wakati nasubiria game ya baadaye.
Mr Q, Vincenzo Jr sijui kama mmeicheki ila nataambaa nayo hivyo hivyo ikiniletea alosto naifungia busta kesho naimaliza. Japo zinaendelea kutoka na mpaka sasa zilizokamilika ni episode 6.
Nimeikata episode 1 nimeiona kama ina kitu hivi