Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 2,556
- 6,713
Hii nimeona episode 2 tu mpaka sasaZa mablack angalau huo ushenzi umepunguzwa NEMESIS ni kazi kazi
Hii nimeona episode 2 tu mpaka sasaZa mablack angalau huo ushenzi umepunguzwa NEMESIS ni kazi kazi
Yah ilikuwa ni Kali sana ndio ilikuwa season Bora kwa mwaka 2024 but wakaweka huo upuuzi unnecessaryIle ni nzuri sana imetulia inaendana na teknolojia kwasasa ila tu jamaa alipoingiza hayo maswala iliniletea taswira mbaya sana kama wakiendelea hivo na season tu basi nianze kuangalia movie za south africa tu
Muvi ilikuwa nzuri. Kuna wakati haki usiisubiriNasikia kuna nchi imepigwa ban na watu wanaiangalia kutaka kujua kwanini imefungiwa. Hata mimi baadae nitaiangalia
View attachment 3621029
Duh sio powaKaangalie kwanza hiyo singo movie hapo juu kuna muda wamekiwasha na kahaba moja hivi acha kabisa😁
Wekaa kazi moja hapaView attachment 3622737wazee wa kazi
Hii nini Vin?View attachment 3622737wazee wa kazi
Waliwavuruga mno watu wa kijiji cha from sio powaWekaa kazi moja hapa
FromHii nini Vin?
Ndio nimetaka kushangaa nimefananishaje!😅Waliwavuruga mno watu wa kijiji cha from sio powa
From
Hili zaga linaonesha ni lenyewe kabisa
Huwa wanakaa mno mpaka mtu unasahau iliishia wapi, kama vile Silo imeanza hata ulishasahau season iliyopita iliishajeLini hawa wajinga wateruletea day if the jackal?
Yamoto sana haina kupoa. Zaga limetengenezwa Ukraine huko kwa kina Zelensky. Ukiangalia hii movie wanaonyesha kinachotokea frontline kati ya Russian na Ukrainian huku USA akijipatia ujikoHili zaga linaonesha ni lenyewe kabisa
Wanakwaza, inabidi mtu ukatazame trailer ya season 2 ili kukumbuka baadhi ya vitu maana unajikuta umesahau vingi..!🙌🏾Huwa wanakaa mno mpaka mtu unasahau iliishia wapi, kama vile Silo imeanza hata ulishasahau season iliyopita iliishaje
La kikubwa au?Umeangalia parody la scream 6 Vincenzo Jr ?
Wanakaa miaka 4 aisee wanazinguaWanakwaza, inabidi mtu ukatazame trailer ya season 2 ili kukumbuka baadhi ya vitu maana unajikuta umesahau vingi..!🙌🏾
kama Citadel, ile ni nini..!??Wanakaa miaka 4 aisee wanazingua
Vinakosekanaje? Ni comic+horror!La kikubwa au?