Series (Special thread)

Series (Special thread)

Series: xiii

Ni series Kali sana ya 2009 inahusu jamaa anapelekwa black site huko anafutiwa kumbukumbu na kubadilishwa sura Sasa anafanikiwa kutoka kazi inakuwa nikufanya uchunguzi wa kujua yeye ni Nani? Lakini pia kujua watu walio nyuma ya tukio Hilo ni kina nani
 
IMG_4280.jpg

Mzigo wa moto huu
 
bb57cdd0-9c4b-4829-83b4-62943689d1e0.jpg

The X Files, nani kawahi kuona hii? Ni ya mwaka 1993-2002 Agents wawili wa FBI mmoja anaamini kwenye sayansi mwengine anaamini kwenye paranormal activities. Wanaungana kusolve cases zilizoshindikana kutatuliwa. Kama uliwahi kuipenda Fringe basi hii hutaacha kuangalia. Ina season 11, na kila moja episodes 24,
Ni ya kitambo ila rate zake 8.6 zipo juu. Nipo s4 lakin sijaona smartphone humo ndani, kumbe zilichelewa sana aisee mpaka mbele. Kama ni mtu wa thriller,horror,mystery,sci-fi inakufaa.
 
Sorry wakuu,nilikuwa natumia moviebox kudownload movie sasa ile app imegoma.
App gani nyingine nzuri kudownload isiyokuwa na ads. nyingi na mb. chache
Mbona Moviebox ipo hewani na inapiga kazi vizuri, au unazungumzia ipi iliyogoma kufanya kazi?
Sorry wakuu,nilikuwa natumia moviebox kudownload movie sasa ile app imegoma.
App gani nyingine nzuri kudownload isiyokuwa na ads. nyingi na mb. chache
Moviebox ipo hewani bado.
Screenshot_20260603_213852_MovieBox.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom