Series (Special thread)

Series (Special thread)

HD ipo hewani kama hukuangalia series ya JACK RYAN hii movie usiangalie sababu hutaelewa nini kinaendelea
 

Attachments

  • 20260522_195703.jpg
    20260522_195703.jpg
    629.9 KB · Views: 1
Simulia kidg wengine bado hatujamaliza prisoner
Nemesis ni unyama… kuna huyo askari anapambana kumtia hatiani jambazi, purukushani kibao hapo kati.. ila dk za jionii penye nafasi ambapo anaweza kumkamata anafeli kufanya hivyo sbb mtoto.

Wengi tulitamani amkamate/ au hata amuue kabisa, ila sasa haikuwa hivyo
 
Nemesis ni unyama… kuna huyo askari anapambana kumtia hatiani jambazi, purukushani kibao hapo kati.. ila dk za jionii penye nafasi ambapo anaweza kumkamata anafeli kufanya hivyo sbb mtoto.

Wengi tulitamani amkamate/ au hata amuue kabisa, ila sasa haikuwa hivyo
Shukrani mkuu
Ila kwann ungependa jamaa afe sometimes jambazi kwenye movie ndo star mwenyewe ujue!?
 
Nemesis ni unyama… kuna huyo askari anapambana kumtia hatiani jambazi, purukushani kibao hapo kati.. ila dk za jionii penye nafasi ambapo anaweza kumkamata anafeli kufanya hivyo sbb mtoto.

Wengi tulitamani amkamate/ au hata amuue kabisa, ila sasa haikuwa hivyo
Kwa hiyo kesho siku inaishaje?? Nipe kitu kilichonyooka basi
 
HOUSE OF USHER wameshaicancel huko , sababu kubwa ni ajenda za kike zilizoingiwa humo (gradiator kuwa wakike)
Yah hata mimi nilipiga kura kwenye house of ashur poll kwamba series imekosa uhalisia Na series inatakiwa kuwa cancelled...
Nilipomuona "achillia" kwa mara ya kwanza nikajua atabakwa sana kwenye ludus za gladiator...

More than that spartacus ni hadithi ya kweli na script inatoka kwenye kitabu ila sijawahi kusoma kitabu cha HOUSE OF ASHUR..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom