Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,479
- 14,675
Three body problem nilijua imesitishwa kumbe ilikuwa jikoni, ije aisee na Ile nyingine Dark matter sijui nAyo liniThis year tunapata msimu wa pili wa Three body problem na Gentlemen. Itakua 🔥
Acha ubahiliUnalala kwangu binti 😂
Mwisho wa mwaka huu itaachiwa. Dark matter sijajuaThree body problem nilijua imesitishwa kumbe ilikuwa jikoni, ije aisee na Ile nyingine Dark matter sijui nAyo lini
ndiyo natoka kuimaliza hapa, nimekuja kulaani vikali that ending, hata kama ina season two ila sijapenda ilivyoisha..!😒Mna uhakika Nemesis ni unyama?? WTF was that ending tho????
Msinipopoe nina uthingidhi
Arrghh
Simulia kidg wengine bado hatujamaliza prisonerMna uhakika Nemesis ni unyama?? WTF was that ending tho????
Msinipopoe nina uthingidhi
Arrghh
Mna uhakika Nemesis ni unyama?? WTF was that ending tho????
Msinipopoe nina uthingidhi
Arrghh
Nemesis ni unyama… kuna huyo askari anapambana kumtia hatiani jambazi, purukushani kibao hapo kati.. ila dk za jionii penye nafasi ambapo anaweza kumkamata anafeli kufanya hivyo sbb mtoto.Simulia kidg wengine bado hatujamaliza prisoner
Shukrani mkuuNemesis ni unyama… kuna huyo askari anapambana kumtia hatiani jambazi, purukushani kibao hapo kati.. ila dk za jionii penye nafasi ambapo anaweza kumkamata anafeli kufanya hivyo sbb mtoto.
Wengi tulitamani amkamate/ au hata amuue kabisa, ila sasa haikuwa hivyo
Usinigombeze tafadhali😔😃😃 Mbona tuliweka wazi hatujapenda ilivyoisha. Hamsomi comments nyie mnachungulia majina tu na kukimbia…
Kwa hiyo kesho siku inaishaje?? Nipe kitu kilichonyooka basiNemesis ni unyama… kuna huyo askari anapambana kumtia hatiani jambazi, purukushani kibao hapo kati.. ila dk za jionii penye nafasi ambapo anaweza kumkamata anafeli kufanya hivyo sbb mtoto.
Wengi tulitamani amkamate/ au hata amuue kabisa, ila sasa haikuwa hivyo
Yah hata mimi nilipiga kura kwenye house of ashur poll kwamba series imekosa uhalisia Na series inatakiwa kuwa cancelled...HOUSE OF USHER wameshaicancel huko , sababu kubwa ni ajenda za kike zilizoingiwa humo (gradiator kuwa wakike)
Naitafuta sante
Nije mimi basiNjoo basi twende Movie 😋🤗
Nimekumiss
Sijaacha kukupenda..
🙊🙊