Series (Special thread)

Series (Special thread)

Za Kikorea ndio kabisaaaa

Ila hiyo Innocent defendant niliipenda for sure iko vizuri nakumbuka niliangalia 2018 kama sikosei ila episode ya mwisho sikuiangalia.

Wiki 2 zilizoisha niliona kwenye site yangu pendwa kuna mini series ya Kikorea ina rate 9.0 inaitwa If Wishes could Kill nikasema ngoja niicheki.

Nilipenda story japo story yake ina relate kwa ukaribu na movie moja inaitwa Countdown

Sababu kubwa ya Movies/Drama za wakorea kutonivutia ni namna ya uigizaji wao kidogo nawaona kama hawako serious yani muda wote wanacheka cheka na kudeka deka.
Hii hata ukiingia moviebox unaikuta juu pale
 
Baada ya mama yao kufa wanapitia msoto sana baba yao anawatesa wanaingia kwenye wizi dada mtu anakamatwa anaenda jela mdogo mtu katika kusurvive anaomba kazi ya ubeki tatu kwenye nyumba moja ya maajabu ambayo kuingia ni rahisi ila kutoka haiwezekani. Wamiliki wa nyumba ile wamekula dili na ibilisi one life for imortality kwahio ukiingia mlr unatolewa kafara ili wao waendelee kua immortal.
Baada ya miaka tisa jela dada mtu anapata parole anapambana kwenda kumuokoa dogo rasi kwenye hilo jengo. Humo kila scene ni ngumi na comedy
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    43.8 KB · Views: 3
Baada ya mama yao kufa wanapitia msoto sana baba yao anawatesa wanaingia kwenye wizi dada mtu anakamatwa anaenda jela mdogo mtu katika kusurvive anaomba kazi ya ubeki tatu kwenye nyumba moja ya maajabu ambayo kuingia ni rahisi ila kutoka haiwezekani. Wamiliki wa nyumba ile wamekula dili na ibilisi one life for imortality kwahio ukiingia mlr unatolewa kafara ili wao waendelee kua immortal.
Baada ya miaka tisa jela dada mtu anapata parole anapambana kwenda kumuokoa dogo rasi kwenye hilo jengo. Humo kila scene ni ngumi na comedy
uliwezaje kuimaliza..!? mimi nilivyoona jicho linatembea lenyewe nikashindwa walaqhi’ nikaitolea mbali..!🙌🏾
 
Baada ya mama yao kufa wanapitia msoto sana baba yao anawatesa wanaingia kwenye wizi dada mtu anakamatwa anaenda jela mdogo mtu katika kusurvive anaomba kazi ya ubeki tatu kwenye nyumba moja ya maajabu ambayo kuingia ni rahisi ila kutoka haiwezekani. Wamiliki wa nyumba ile wamekula dili na ibilisi one life for imortality kwahio ukiingia mlr unatolewa kafara ili wao waendelee kua immortal.
Baada ya miaka tisa jela dada mtu anapata parole anapambana kwenda kumuokoa dogo rasi kwenye hilo jengo. Humo kila scene ni ngumi na comedy
Hii niliiangalia sema imeka ki comedy

Hususani ile scene ya kichwa cha nguruwe kiliposema neno shit baada ya kuona demu anakuja na panga
 
Series : KASABA au The town

Ni series ya kiuturuki ni ya mwaka 2025 hiko hivi majamaa 4 hivi katika safari yao wanabahatika kuona gari linawatu wawili ambo wameuwawa wakawa wanataka kutoa taarifa police kabla hawajafanya hivyo wanagundua kwenye hilo gari Kuna mabunda ya hela nyingi ya dollar na ukizingatia Wanashida lukuki wanajikuta wanahairisha mpango wa kutoa taarifa police wanachukua zile hela na ukizingatia hizo hela sio hela ya nchi yao na hawajui ni za nani? na kwanini watu walikutwa kwenye Hilo gari wameuwawa?

Baada ya kuzichukua hizo hela za kigeni wanaumiza kichwa watazitumiaje ili wasijulikane ukizingatia wapo kijijini na purchase power ya hapo ni ndogo
Mzigo Mkali ndo nimeumaliza, hauna scene za ajabu unaweza kuangalia ukiwa na Mama mkwe... 🔥9/10🔥
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom