Ni nzuri sanaa.. hivi Citadel wamegoma kuendelea? Ndio sbb me sipendagi series.. mnaachwa na uhondoNafikiri hii ilipasawa iwe min series hata episodes 6 tu zingetosha
View attachment 3582681
Sijaiona, ni nzuri?
Sijaiona ndio nauliza niichek! The rip kali sana imalizie!Sijaiona, ni nzuri?
Jana nilianza kuangalia “The Rip” sikuimaliza nikasinzia..
Naipata site ganiSeries : KASABA
Ni series ya kiuturuki hiko hivi majamaa 4 hivi katika safari yao wanabahatika kuona gari linawatu wawili ambo wameuwawa wakawa wanataka kutoa taarifa police kabla hawajafanya hivyo wanagundua kwenye hilo gari Kuna mabunda ya hela nyingi ya dollar na ukizingatia Wanashida lukuki wanajikuta wanahairisha mpango wa kutoa taarifa police wanachukua zile hela na ukizingatia hizo hela sio hela ya nchi yao na hawajui ni za nani? na kwanini watu walikutwa kwenye Hilo gari wameuwawa?
Baada ya kuzichukua hizo hela za kigeni wanaumiza kichwa watazitumiaje ili wasijulikane ukizingatia wapo kijijini na purchase power ya hapo ni ndogo
Hiyo nilirushiwa na mtu full seasonNaipata site gani
MtaimaliziaSijaiona ndio nauliza niichek! The rip kali sana imalizie!
Huko status kila demu monica, nimeenda mpka snapchat same shit! Hebu nielezee kidogo nikaione lol😂Mtaimalizia
Kwa leo peer pressure imeshinda, ndio naangalia Monica Pt1.. wacha nilie 😂😭
Ilitokaga part1 hapo nyuma ikatrend sana lakini mie sikuangalia.. sasa jana imetoka part2.. kama kawaida yao wananchi wakatrendisha.. nikaamua leo kuangaliaHuko status kila demu monica, nimeenda mpka snapchat same shit! Hebu nielezee kidogo nikaione lol😂
Unastream wapi niangalie nijilize na kujibembeleza mwenyewe vikinizidia nipulize nusu tu🤧Ilitokaga part1 hapo nyuma ikatrend sana lakini mie sikuangalia.. sasa jana imetoka part2.. kama kawaida yao wananchi wakatrendisha.. nikaamua leo kuangalia
Ni nzuri.. ina funzo.. ukiangalia bila kushtua mapafu 🚬💨 chozi linaweza kukutoka kdogo.
Binti Monica ni 1st born kwao.. anajitahidi kadri awezavyo kwa ajili ya familia yake lkn hawana shukrani. Anapata mpenzi, mama ake anamkatisha tamaa na kumsihii aachane nae. later on mdogo wake anapita na mpenzi wake mpaka wanaoana.
Ndoa haikudumu sanaa mpenzi akafa kwenye part2.
Maisha pale home yakazidi kumkwaza Monica akaamua kusepa. Anapata deal huko mambele akatimka zake
Naimalizia nione mwisho wao
Ila kuna aina ya wazazi ni kheri wasizae aisee..
Iko youtube 😀😀Unastream wapi niangalie nijilize na kujibembeleza mwenyewe vikinizidia nipulize nusu tu🤧
Thanks mamaa! Wacha nimalizie movie moja hapa nikaichek..Iko youtube 😀😀
Uche Montana Tv
Que sera sera whatever will be will beHere we go.
Que sera sera
Knowledge comes at cost
Sikiliza hii versionHere we go.
Que sera sera
Knowledge comes at cost