Series (Special thread)

Series (Special thread)

Screenshot_20251017-104928.png

Huu UJINGA ndo siutakagi naombeni direct link
 
Kila ninapo muona Pilar Malo nasikia Raha vibaya mno 😎 😍 hii tv show ya 72 Hours Unplugged nzuri sana Binti anatembea sana duniani yule mara ya mwisho nilimuona Addis Ababa Bole International Airport
 

show runner wa Stranger things wanachukua muda mrefu kuleta season nyingine sio kama series nyingine, hapo kuna series zina season nyingi zaidi ya Stranger things, kuna zenye season 6,7, halafu yenyewe ina season tano tu.
Umecheki budget iliyotumika kwa season 5 pekee, ni $ M480, wakati avengers end game ina kina Robert downey junior, chris evans, chris hemsworth, bladley cooper, Vin diesel, ni miongoni mwa actors wanaolipwa pesa ndefu mno, ukijumuisha na setting, Vfx, kulipa ma actor wengine wakubwa wakubwa ila walitumia $ M400, hapo Netflix wamejitoa kweli kama iki flop itakuwa hasara kubwa mno
 
Top 10 scariest movies of all time, according to an experiment from the Science of Scare Project:

🔟 - Talk to Me
9️⃣ - The Exorcism of Emily Rose
8️⃣ - Smile
7️⃣ - Smile 2
6️⃣ - Hereditary
5️⃣ - The Conjuring
4️⃣ - Insidious
3️⃣ - Skinamirink
2️⃣ - Host
1️⃣ - Sinister
 
Kuna mabibi ni magangster sana anaitwa Darlene apo katoka kumpiga risasi ya kwenye uume mtoto wa mwamba uyo mkuu wa Kansas City Mob kaja kumpa dili akitaka vita wakutane😂😂

Series: OZARK
Screenshot_2025-10-18-08-29-51-02_4aed3257f278fcf7bfa3abd644e23333.jpg
Screenshot_2025-10-18-08-29-54-60_4aed3257f278fcf7bfa3abd644e23333.jpg
Screenshot_2025-10-18-08-29-57-84_4aed3257f278fcf7bfa3abd644e23333.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2025-10-18-08-29-37-89_4aed3257f278fcf7bfa3abd644e23333.jpg
    Screenshot_2025-10-18-08-29-37-89_4aed3257f278fcf7bfa3abd644e23333.jpg
    536.1 KB · Views: 20
Series: Ms incognito ya 2025

Hii ni series ya kikorea binti ambaye ana maisha magumu na katokea kwenye familia yenye maisha magumu anaomba kazi kwa Mzee mmoja Tajiri ambaye ni mgane Kwenye nafasi ya kuwa board guard na anafanikiwa kupata hiyo nafasi, Baada ya kufanya kazi kwa muda mfupi Mzee anamwambia Mimi Nina maadui wengi na wote wanatokea kwenye familia yangu na pia wameniulia mtoto wangu mpendwa na yote ni kwasababu ya Mali ili unisaidie vizuri ninaomba nikuoe uwe Kama mke wangu unaweza kunisaidia vizuri swali Je Binti atakubali? Na Kama atakubali familia ya Mzee itareact hivi ukisikia hiyo habari?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom