Series (Special thread)

Series (Special thread)

Ukiniambia nikashauri ipi kati ya conjuring na shining ntakwambia uangalie the conjuring.

Kesho ni mwendo wa the exorcist, insidious na bring her back.

Msipoteze bando kwenye the shining.
 
naomba zilizokutisha kuna mtu labda naweza mshtua..!
Kwakweli kabisa hata sikumbuki ni zipi. hata hii series ya From imenishtua kidogo mwanzon lakini pindi nilipoangalia episode3 nikaadopt.

Sahivi nmekuwa mraibu naangalia video za mauaji ya kweli iwe ya kupigana risasi, kuchomana visu, kunyonga, kuna wale wanapigwa mawe uarabuni huko hadi kufa, ajali na kila aina ya mauaji yanayojitokeza yaliyopata kurecordiwa twitter uku ndo naona naanza kupata ile ladha ya kutishika.
 
Kwakweli kabisa hata sikumbuki ni zipi. hata hii series ya From imenishtua kidogo mwanzon lakini pindi nilipoangalia episode3 nikaadopt.

Sahivi nmekuwa mraibu naangalia video za mauaji ya kweli iwe ya kupigana risasi, kuchomana visu, kunyonga, kuna wale wanapigwa mawe uarabuni huko hadi kufa, ajali na kila aina ya mauaji yanayojitokeza yaliyopata kurecordiwa twitter uku ndo naona naanza kupata ile ladha ya kutishika.
upo viwango vingine vya kutishika na kushtuka mkuu, ama kwa hakika wewe si mwenzetu..!
 
upo viwango vingine vya kutishika na kushtuka mkuu, ama kwa hakika wewe si mwenzetu..!
sio mwenzetu kabisa, mi naangalia za kutisha, mapanga, visu ila ni movie tu video clip za kweli huwa siwezi kabisa kuangalia hata kama kuna ajali sehemu, ugomvi mkubwa watu wameumizana vibaya huwa sisogei hata clip siangalii kabisa
 
Yaani nmejikuta tu. Ndugu yako aliangalia izi baadhi nazikumbuka kidogo nazo zilitisha watu.,
Anabelle zote
Veronica
The Ring
Anza kuangalia zile series za Monster, zipo tatu
1. Monster Jeffrey Dahmer
2. Monster lyle and erick mendez story
3. Monster Ed Gein
Hzi ni series zinazohusu story za serial killers waliowahi kutokea kweli
 
Anza kuangalia zile series za Monster, zipo tatu
1. Monster Jeffrey Dahmer
2. Monster lyle and erick mendez story
3. Monster Ed Gein
Hzi ni series zinazohusu story za serial killers waliowahi kutokea kweli
Ni monster majitu ya ajabu kama jack the giant slayer!?? Au monster watu wanyama kama seriel killers?😂
 
Ni monster majitu ya ajabu kama jack the giant slayer!?? Au monster watu wanyama kama seriel killers?😂
Ni watu wa kawaida tu ila mambo wanayofanya ,mauaji, kula nyama za waliowaua, kuwatenganisha viungo, tuseme ni vichaa walipotiliza😁, mambo mengine wanayofanya ni ya ajabu kama hyo ya Ed gein jamaa anakwea mnazi huku kajininginiza shingo kama anajinyonga 😅😅, ukaanglia utacheka mwenyewe, Jeffrey Dahmer anafanya sex na ile midoli ya nguo, nenda kazicheki
 
Ni watu wa kawaida tu ila mambo wanayofanya ,mauaji, kula nyama za waliowaua, kuwatenganisha viungo, tuseme ni vichaa walipotiliza😁, mambo mengine wanayofanya ni ya ajabu kama hyo ya Ed gein jamaa anakwea mnazi huku kajininginiza shingo kama anajinyonga 😅😅, ukaanglia utacheka mwenyewe, Jeffrey Dahmer anafanya sex na ile midoli ya nguo, nenda kazicheki
Umenikumbusha movie moja inaitwa hostel niliangalia 2013 asee wale jamaa wanakula watu au pia Cannibal nayo niliangaliaga zaman kweli
 
Umenikumbusha movie moja inaitwa hostel niliangalia 2013 asee wale jamaa wanakula watu au pia Cannibal nayo niliangaliaga zaman kweli
Kwenye hostel Kuna kipande masta mmoja hivi alikuwa anaongea na simu afu kwa mbele kulikuwa na totoz Lina bonge la chura watoto wa mujini tunaita shepu mwana alikuwa ana tia kibao huku anaongea na simu 😀😀😀
 
Hiki chuma kinabalaa nilikitazama cinema 😎 🎥
20251016_080905.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom