Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hata mi nilishangaa kuona series ya kizungu kuwaisha season mpya mapema hivyo, mi nilijua hapo mpaka 2026 september hivi,

Au huenda amazon walishawapa green light mpaka ya season 2 hivyo wakaona washot season zote kwa pamoja na sio kusubiri mwaka ujao ndio
Anko hiyo series naiyona ikienda kupigwa cancelled suala la muda tu maana Hawa Amazon hawachelewi kufanya miyeyusho
 
Wakuu nimemaliza the conjuring 2013 ila moyo haujastuka sana. Nilikuwa naangalia naangalia na watu wawili ntashangaa ni mmoja tu ndo nilikuwa nasikia pumzi kama zintoka kwa Fujo mapafuni. Mwingine yeye katulia tu kakkodo macho kwenye tv na umri wake ni mdogo tu wa kawaida.

Kesho nawaalika Tena tuangalie

The shining. Kisha nihamie kwenye the exorcist.

Endeleeni kuleta vitu ambavyo ni hatari Yani damu, thrills, brutality mpaka watu wakimbie kutoka sebuleni.
 
Wakuu nimemaliza the conjuring 2013 ila moyo haujastuka sana. Nilikuwa naangalia naangalia na watu wawili ntashangaa ni mmoja tu ndo nilikuwa nasikia pumzi kama zintoka kwa Fujo mapafuni. Mwingine yeye katulia tu kakkodo macho kwenye tv na umri wake ni mdogo tu wa kawaida.

Kesho nawaalika Tena tuangalie

The shining. Kisha nihamie kwenye the exorcist.

Endeleeni kuleta vitu ambavyo ni hatari Yani damu, thrills, brutality mpaka watu wakimbie kutoka sebuleni.
Itafute evil dead ya 2013 tafuta na na psycho ongezea na hizi tena
Get out
Split
Shaun of the dead
Insidious
Us
Siccin
 
Wakuu nimemaliza the conjuring 2013 ila moyo haujastuka sana. Nilikuwa naangalia naangalia na watu wawili ntashangaa ni mmoja tu ndo nilikuwa nasikia pumzi kama zintoka kwa Fujo mapafuni. Mwingine yeye katulia tu kakkodo macho kwenye tv na umri wake ni mdogo tu wa kawaida.

Kesho nawaalika Tena tuangalie

The shining. Kisha nihamie kwenye the exorcist.

Endeleeni kuleta vitu ambavyo ni hatari Yani damu, thrills, brutality mpaka watu wakimbie kutoka sebuleni.
Hiyo the shining na exotic mjiandae kupiga yowe sebuleni mzigo unaanza na Azana sio powa brother Majini ni watu hatari sana
 
Kuna mmoja tulipo maliza Ile ya kwanza anasema eti tuendelee na nyingine ili asahau hii ya kwanza nikaona hapa dozi bado.
😃😀😀😀 Kesho akisikia Azana atasepa huyo padre alikimbia pepo Lina nguvu kishenzi afu linakwambia sitoki na anakutajia kuwa wewe padre ndio maana ulimuua mkeo anakukumbusha na madhambi yako 😂
 
Hiyo get out Kuna sounds track ya kiswahili goma kinaitwa kimbia mbali yupo masta Daniel kaluuya alijichanganya kwa demu wa kizungu kumbe bi mkubwa wake mwanga kicenge 😃😀 Cc Mr Q
Hiyo niliiona channel 137 TNT kwenye Dstv.. siku hiyo nilishindwa hata kuangalia eviction ya BBNaija.
Bi mkubwa alikua anawaweka kwenye hypnosis wanashindwa la kufanya 😂
 
Naomba horror zitakazo chomoa moyo. Yani horror haswa. Design ya wrong turn hills have eyes na thrillers Yani nataka kustuka. Ukipata kama pia ziweke kwenye orodha
Screenshot_2025-09-18-19-44-21-70_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
kuna hizi nimeziscreenshot sijazipakua bado em jaribu kupita nazo tafuta na ile inaitwa Brahim the boy zipo mbili
Screenshot_2025-09-18-19-44-13-89_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom