Series (Special thread)

Series (Special thread)

Sometimes watu wanaweza kuwa proved wrong
Kwanza watu wengi walikuwa wanataka iishe maana ikiendelea hivi ladha itakuwa ileile kila season
Bora sahiz tutaona kitu cha tofauti. Unadhani USA haina ma director wazuri?

Hapo sasa neflix wacheze karata yao vyema kwenye production team.

Kama wewe ni mfuatiliaji wa tvshows za marekani utakuwa shahidi nyingi wamezicancell zimeishia njiani na maswali mengi sababu ya rates kuwa chache na mbaya. Waandishi wa story USA ni wachache mno wanajua.
 
Hapo sasa neflix wacheze karata yao vyema kwenye production team.

Kama wewe ni mfuatiliaji wa tvshows za marekani utakuwa shahidi nyingi wamezicancell zimeishia njiani na maswali mengi sababu ya rates kuwa chache na mbaya. Waandishi wa story USA ni wachache mno wanajua.
Mmh sasa mbona best series nyingi zinatoka USA?
 
mbona nimeimaliza macho makavu kama mkate wa juzi,

Ila SG imenifanya nifikirie kiwango cha TAMAA ya mwanadamu, katika kitu huyu kiumbe hawezi kamwe ni KURIDHIKA..!!🙌
Hata mimi nimeimaliza na wala sijalia wala kuhuzunika zaidi nimefurahi mtoto amepona na ameshinda game, pia nimefurahi player 456 kujiua maana angeishi tena kwa tabu na mateso hata pesa asingezifaidi, sijaelewa pesa zake ziliibwa na nani kwenye kile chumba au Frontman??

Funzo ni kua, tukubali dunia ni yakikatili, ukiwa dhaifu utaishi kwa mateso sana, dunia inahitaji watu makatili, jasiri na wenye tamaa ili waweze kuifurahia.
 
Angalia na hii kama unapenda survival
images (17).jpeg
 
Tapeli huyu 😃😃😀😀View attachment 3389915
🤣🤣🤣🤣Huyu mama aliwaingiza wafuasi wake chaka hafu akakimbia, ile scene niliirudia karibu mara nne.Alinichekesha alivyoingia kwenye kile chumba akatoka hana wasiwasi akabana mlango hafu ghafla akatimua mbio akawaachia wafuasi msala...dah! Miyeyusho sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom