Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mtaalam Jackal yupo na Rice
IMG-20250701-WA0023.jpg
 
Mkuu full vituko 😁😁😁 mwandishi wa hii series kajitahidi. Ni filam chache huwa zina maigizo ndani ya igizo.
Kabisa kaka yule mke wake Barry mie huwa ananichekesha sana
Nae mzee kasanuu miyeyusho sana 😀 Barry katumwa kufanya kazi yeye kaenda kuzamia mazima na kapata hadi demu 😃😀😀
 
Nimemaliza kuangalia Squid Game 3 sasahivi, naona wanataka kuleta na game USA. Bora iendelee tu
Wasiishie Season 3. Nataka nione Black Americans kwenye Squid Game ijayo 😁View attachment 3385902

Bila shaka yule bibi alieonekana mwisho wa series anapigana vibao na mwamba ni mmoja wa cast ya season ya USA. Nahisi black americans wataharibu hii.
 
Bila shaka yule bibi alieonekana mwisho wa series anapigana vibao na mwamba ni mmoja wa cast ya season ya USA. Nahisi black americans wataharibu hii.
Kwa nini waharibu?
Yani hujui tu ninavyosubiri kwa hamu kuona Black Americans kwenye Squid Game 4. Yani kwenye movie yoyote nikiona Black Americans roho yangu inasuuzika
 
Kwa nini waharibu?
Yani hujui tu ninavyosubiri kwa hamu kuona Black Americans kwenye Squid Game 4. Yani kwenye movie yoyote nikiona Black Americans roho yangu inasuuzika
Wana ujinga mwingi watakufa wengi mapema mno, wakiwa wanacheza mmoja akishindwa game utasikia "Man F**k this shit i'm out here" anakula risasi ya kichwa😁,
mwingine anapewa maelezo ya kucheza game anamtukana yule mlinzi akiingia kwenye mchezo anaanza kuhaha 😆😆
 
Kwa nini waharibu?
Yani hujui tu ninavyosubiri kwa hamu kuona Black Americans kwenye Squid Game 4. Yani kwenye movie yoyote nikiona Black Americans roho yangu inasuuzika

Wataoiharibu hii series sio actors ni story/script writers wakiwa wa usa wataharibu, wabaki wale wale wakorea na Director abaki yule yule tupate kitu original kutoka kichwani mwake.
 
Wana ujinga mwingi watakufa wengi mapema mno, wakiwa wanacheza mmoja akishindwa game utasikia "Man F**k this shit i'm out here" anakula risasi ya kichwa😁,
mwingine anapewa maelezo ya kucheza game anamtukana yule mlinzi akiingia kwenye mchezo anaanza kuhaha 😆😆

Umeona sasa ilivyo rahisi kutabirika. Script writers na director wabaki wakorea wale wale
 
Wataoiharibu hii series sio actors ni story/script writers wakiwa wa usa wataharibu, wabaki wale wale wakorea na Director abaki yule yule tupate kitu original kutoka kichwani mwake.
Sasa kama unajua series ni story na sio actors kwa nini hutaki Black Americans wawepo? Si tunakubaliana series sio Actors au
 
Muda ni mwalimu ngoja uone mkuu. Au nenda kwenye pages za neflix kaone reaction za watu kuhusu mikono ya usa kuhusika.
Sometimes watu wanaweza kuwa proved wrong
Kwanza watu wengi walikuwa wanataka iishe maana ikiendelea hivi ladha itakuwa ileile kila season
Bora sahiz tutaona kitu cha tofauti. Unadhani USA haina ma director wazuri?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom