Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,060
- 95,616
kaka ka ni hivyo ninge lipia ya nini 😂 😂Netflix mbali shushen hapa
kaka ka ni hivyo ninge lipia ya nini 😂 😂Netflix mbali shushen hapa
Kiherehere chako kaka🤣🤣🤣 hiyo hela bora tungempa Razorblade alee watotokaka ka ni hivyo ninge lipia ya nini 😂 😂
Kaka Kuna show wali kuwa Wana irudia, ndio nika sema acha niwa changie🤣🤣.Kiherehere chako kaka🤣🤣🤣 hiyo hela bora tungempa Razorblade alee watoto
Imejaa ushoga tuUmeniwahi nilitaka kupost sasahivi
Hapo quality ni mbovuNetflix mbali shushen hapa
😀😀😀😀Ni muhuni sana🤣🤣🤣🤣Huyu mama aliwaingiza wafuasi wake chaka hafu akakimbia, ile scene niliirudia karibu mara nne.Alinichekesha alivyoingia kwenye kile chumba akatoka hana wasiwasi akabana mlango hafu ghafla akatimua mbio akawaachia wafuasi msala...dah! Miyeyusho sana.
Itakuwa hatari sana 😀Vipi John Wick akitumwa kumuua the jackal unahisi atafanikisha 😃😃
Vincenzo Jr Mr Q Carleen Dr. Mariposa View attachment 3391787
Mwamba sana huyoPia yupo kwenye movie ya The Theory of Everything ameigiza kama Stephen Hawking ambapo alipata tuzo ya oscar
Sijaiona hata ndo nilitaka niangalie kesho kumbe ni upinde tu humo ndani.Imejaa ushoga tu
Umejaribu kuangalia mkuu??Hapo quality ni mbovu
Ndio naona sio 1080pUmejaribu kuangalia mkuu??
😀😀😀 Ngoja nikupe trailer utaowaona haoSijaiona hata ndo nilitaka niangalie kesho kumbe ni upinde tu humo ndani.
Nishaghairi kuiangalia
Mbona Awafim quality yake ni nzuriHapo quality ni mbovu
Unafahamika machimbo yako kaka nashangaa saiv umelipia tena🤣🤣Kaka Kuna show wali kuwa Wana irudia, ndio nika sema acha niwa changie🤣🤣.
tofauti na hapo nabaki youku, iqiyi, viki, kiss asian
Aah wewe si una Wifi 😃😃sisi wa mabundle Quality nzuri sana hiyo HD naangalia kwenye Screen kabisaNdio naona sio 1080p
maisha tu kaka 🤣😂🤣, iki isha sirudiUnafahamika machimbo yako kaka nashangaa saiv umelipia tena🤣🤣
Nipo hapa utalipia tuu🤣🤣🤣maisha tu kaka 🤣😂🤣, iki isha sirudi
Labda niende Pyongyang 😁 😂Nipo hapa utalipia tuu🤣🤣🤣
Pyongyang ukienda ni ndoa mzee comred ashasemaLabda niende Pyongyang 😁 😂