Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,232
- 79,759
Wanazingua sana hao afu kwenye game lake hakuna machoko kwenye series ndio wameweka miyeyusho yaoWadau wa mitandaoni Wana diss sana vitendo vya ki chokooo vinavyoendelea kwenye series Last of Us wengine wanasema vilikuwa havina ulazima kuwepo
Ukizingatia kale katoto wanakaweka kwenye scene za usagaji watu wamemaindi kinoma Kuna kipande wanapigana finger kabisa ilikuwa Haina ulazima kutuonesha
Wadau wanamaindi itapoteza mvuto